Mwanamke akiwa na assets nyingi anakuwa anafanya kazi gani?

Mwanamke akiwa na assets nyingi anakuwa anafanya kazi gani?

Mambo ya wadada waachie wadada wenyewe wanazaliwa na mitaji. Madada hapa mjini wanasukuma hadi ndinga za milion 200 na kazi hawana.
Narudia tena mambo ya madada waachie wenyewe
Ewaaaaaah hapo umeamua sasa
.
Hii ni leo leo
 
Boss katika vitu vinavyosababisha kusikia mtu kauliwa ukiachana na migogoro ya ardhi basi inayofuata ni mahusiano.

Hakuna mtu mzima aliye singo hivyo tunapokuwa na uhitaji wa kuwa n mahusiano tunatongoza tukijua kabisa tunampindua mtu ambae hatumjui aliye na huyo mwanamke (Legal way). Illegal ni pale mwanaume kutaka kumuingia mwanamke fulani ikiwa tiali unamjua mtu wake yaani tena na wewe anakujua (Very Sin).

Mbali ya kuwa ni sio uanaume pili jua wajinga hii dunia wajaisha unaosikia sikuzote 'wamuana kisa mwanamke' sio kwamba kweli wameuana ila mmoja ambae mjinga kamuua mmoja ambae mwerevu kwa hapa wewe ni mwerevu unaingilia penzi la mtu sijui huyo jamaa Ana akili gani yeye.

Na je hivo kula demu wa mtu adhabu utapata sawa sawa kama ya aliyekula mke watu....?
_Adhabu inategemea na akili na hisia za mwenye demu kumbuka hii sio adhabu kisheria kuomba ufanyiwe fair wasiokuwa na akili mtaani wajaisha
Ahahahha daaah mkuu maneno adimu sana kusikia kwa watu ila wewe umefanya nielewe A to Z aiseeee

Daah mkuu hapa ni kukaa nae mbali tuu hakuna kingine
 
WAKUU NIWAMBIE TU NIMESHAULIWA SANA ILA NAONA KAMA NIMELOGWA HIVI...

Maana kilichotokea mda huu naona kabisa siwezi achana na haya mambo aisee..

Kama watakuja na mafuta watajipaka wenyewe I don't care
 
Back
Top Bottom