Mwanamke akiwa na assets nyingi anakuwa anafanya kazi gani?

Mwanamke akiwa na assets nyingi anakuwa anafanya kazi gani?

Habari za humu ndani
Mabibi, Mabwana na Nk.....

Jamani nimekaa nikiwaza mda huu usiku wa 1:07 Am usiku.
Ni kweli tunapitia hali ngumu ya maisha lakini hii sio sababu ya kukufanya kutoweza kuwa na hisia.

Ukiachana na ushauri wa DR HAYA LAND sijui mambo ya retention ila kuna kitu sasa kwangu kimekua shida.

Katika harakati zangu hizi nazofanya mda mwingi nakua karibu na wadada. Tena unakuta wadada wale konki watoto watoto kweli.

Lakini pia acha hao watoto kuna mashangazi pia kuna wake za watu.

Hapa kwenye wake za watu nilishawahi kufatwa na wahuni wa hapa hapa wakanipa short description kuhusu wake za watu.

Ila walisema kwa utani utani tu..
On point ipo hivi. Kuna kadada hapa aisee kamekua kakinichanganya sana medulla oblongata yangu.

Kwanini kananichanganya. Kwanza ni kadogo kadogo. Lakini pia ni kazuri kweli kweli na kameanza kunizoea kiasi ambacho........ Mmmh au basi Ukute jamaa yupo humu

Sasa jambo linalonipa shida huyu mdada kuna mda anakuaga na jamaa ake na huyu jamaa ake ni shababi kweli kweli..

Mdada ndani ana asset kama zote kwa haraka haraka unaweza sema ameolewa ila mmmh hapana...

Na kama ajaolewa je huyu jamaa ake atakua anafanya kazi gani...?

Na je hivo kula demu wa mtu adhabu utapata sawa sawa kama ya aliyekula mke watu....?

Je mtu mpaka unaambiwa anaendaga congo what means ni mjeda au kuna nini kingine kongo huko...?

La mwisho hivi mdada mpaka anakua na asset nyingi ndani kwa haraka haraka atakua anafanya kazi gani....?
Una miaka mingapi?
 
Habari za humu ndani
Mabibi, Mabwana na Nk.....

Jamani nimekaa nikiwaza mda huu usiku wa 1:07 Am usiku.
Ni kweli tunapitia hali ngumu ya maisha lakini hii sio sababu ya kukufanya kutoweza kuwa na hisia.

Ukiachana na ushauri wa DR HAYA LAND sijui mambo ya retention ila kuna kitu sasa kwangu kimekua shida.

Katika harakati zangu hizi nazofanya mda mwingi nakua karibu na wadada. Tena unakuta wadada wale konki watoto watoto kweli.

Lakini pia acha hao watoto kuna mashangazi pia kuna wake za watu.

Hapa kwenye wake za watu nilishawahi kufatwa na wahuni wa hapa hapa wakanipa short description kuhusu wake za watu.

Ila walisema kwa utani utani tu..
On point ipo hivi. Kuna kadada hapa aisee kamekua kakinichanganya sana medulla oblongata yangu.

Kwanini kananichanganya. Kwanza ni kadogo kadogo. Lakini pia ni kazuri kweli kweli na kameanza kunizoea kiasi ambacho........ Mmmh au basi Ukute jamaa yupo humu

Sasa jambo linalonipa shida huyu mdada kuna mda anakuaga na jamaa ake na huyu jamaa ake ni shababi kweli kweli..

Mdada ndani ana asset kama zote kwa haraka haraka unaweza sema ameolewa ila mmmh hapana...

Na kama ajaolewa je huyu jamaa ake atakua anafanya kazi gani...?

Na je hivo kula demu wa mtu adhabu utapata sawa sawa kama ya aliyekula mke watu....?

Je mtu mpaka unaambiwa anaendaga congo what means ni mjeda au kuna nini kingine kongo huko...?

La mwisho hivi mdada mpaka anakua na asset nyingi ndani kwa haraka haraka atakua anafanya kazi gani....?
"Tunapitia hali ngumu ya maisha" wewe nanani, mumeo au mkeo?

Tanzania ina neema leo kuliko wakati wowote, binafsi nashukuru AlhamduliLlah sijawahi kupitia hali ngumu ya maisha Tanzania.

Tanzania hii ambayo kama huna kuka unakwenda kwa mjomba au shangazi unakula na kusepa na unaweza kudeka upikiwe nini, leo una kauli ya kusema "tunapitia hali ngumu ya maisha"?

Unailinganisha Tanzania na wapi?
 
1000131369.jpg
1000131370.jpg
hata hatuongei sana.
 
Habari za humu ndani
Mabibi, Mabwana na Nk.....

Jamani nimekaa nikiwaza mda huu usiku wa 1:07 Am usiku.
Ni kweli tunapitia hali ngumu ya maisha lakini hii sio sababu ya kukufanya kutoweza kuwa na hisia.

Ukiachana na ushauri wa DR HAYA LAND sijui mambo ya retention ila kuna kitu sasa kwangu kimekua shida.

Katika harakati zangu hizi nazofanya mda mwingi nakua karibu na wadada. Tena unakuta wadada wale konki watoto watoto kweli.

Lakini pia acha hao watoto kuna mashangazi pia kuna wake za watu.

Hapa kwenye wake za watu nilishawahi kufatwa na wahuni wa hapa hapa wakanipa short description kuhusu wake za watu.

Ila walisema kwa utani utani tu..
On point ipo hivi. Kuna kadada hapa aisee kamekua kakinichanganya sana medulla oblongata yangu.

Kwanini kananichanganya. Kwanza ni kadogo kadogo. Lakini pia ni kazuri kweli kweli na kameanza kunizoea kiasi ambacho........ Mmmh au basi Ukute jamaa yupo humu

Sasa jambo linalonipa shida huyu mdada kuna mda anakuaga na jamaa ake na huyu jamaa ake ni shababi kweli kweli..

Mdada ndani ana asset kama zote kwa haraka haraka unaweza sema ameolewa ila mmmh hapana...

Na kama ajaolewa je huyu jamaa ake atakua anafanya kazi gani...?

Na je hivo kula demu wa mtu adhabu utapata sawa sawa kama ya aliyekula mke watu....?

Je mtu mpaka unaambiwa anaendaga congo what means ni mjeda au kuna nini kingine kongo huko...?

La mwisho hivi mdada mpaka anakua na asset nyingi ndani kwa haraka haraka atakua anafanya kazi gani....?
Asset nyingi ndio unamaanisha nini haswa?? Makochi na tv au nyumba au nini? Maana kitu kikiwa zaidi ya kimoja ni vingi
 
"Tunapitia hali ngumu ya maisha" wewe nanani, mumeo au mkeo?

Tanzania ina neema leo kuliko wakati wowote, binafsi nashukuru AlhamduliLlah sijawahi kupitia hali ngumu ya maisha Tanzania.

Tanzania hii ambayo kama huna kuka unakwenda kwa mjomba au shangazi unakula na kusepa na unaweza kudeka upikiwe nini, leo una kauli ya kusema "tunapitia hali ngumu ya maisha"?

Unailinganisha Tanzania na wapi?
Shangazi angu kula hapa mjini sio ishu...
Ishu ni pa kulala..

Unaweza ukapuyanga puyanga wee mchana kutwa ila ikifika jioni lazima akili itakukaa sawa.

Nateseka mimi na nafsi yangu shangazi....

Na sio mda wote utakaa kwa shangazi au kwa mjomba.
Nazani hata wewe una experience hiko kitu..

Kuna umri ukifika lazima ukajitafute kwahyo kama wewe umekuta mambo poa kwako sio wote ndo ipo hivo shangazi....
 
FaizaFoxy shangazi angu kuna mda napata wasi wasi na wewe...
Sijuo ni miongoni mwa wazee wa hovyo humu
Wewe ndo wa kuandika madudu haya
"""Tunapitia hali ngumu ya maisha" wewe nanani, mumeo au mkeo?

Kama mtu ambaye umesoma nilichoandika hapo sizani kama kulikua haina haja ya kuandika maneno kama hayo..

Kuna mda naona unatakaga ligi tu.
Shame upon you
 
Habari za humu ndani
Mabibi, Mabwana na Nk.....

Jamani nimekaa nikiwaza mda huu usiku wa 1:07 Am usiku.
Ni kweli tunapitia hali ngumu ya maisha lakini hii sio sababu ya kukufanya kutoweza kuwa na hisia.

Ukiachana na ushauri wa DR HAYA LAND sijui mambo ya retention ila kuna kitu sasa kwangu kimekua shida.

Katika harakati zangu hizi nazofanya mda mwingi nakua karibu na wadada. Tena unakuta wadada wale konki watoto watoto kweli.

Lakini pia acha hao watoto kuna mashangazi pia kuna wake za watu.

Hapa kwenye wake za watu nilishawahi kufatwa na wahuni wa hapa hapa wakanipa short description kuhusu wake za watu.

Ila walisema kwa utani utani tu..
On point ipo hivi. Kuna kadada hapa aisee kamekua kakinichanganya sana medulla oblongata yangu.

Kwanini kananichanganya. Kwanza ni kadogo kadogo. Lakini pia ni kazuri kweli kweli na kameanza kunizoea kiasi ambacho........ Mmmh au basi Ukute jamaa yupo humu

Sasa jambo linalonipa shida huyu mdada kuna mda anakuaga na jamaa ake na huyu jamaa ake ni shababi kweli kweli..

Mdada ndani ana asset kama zote kwa haraka haraka unaweza sema ameolewa ila mmmh hapana...

Na kama ajaolewa je huyu jamaa ake atakua anafanya kazi gani...?

Na je hivo kula demu wa mtu adhabu utapata sawa sawa kama ya aliyekula mke watu....?

Je mtu mpaka unaambiwa anaendaga congo what means ni mjeda au kuna nini kingine kongo huko...?

La mwisho hivi mdada mpaka anakua na asset nyingi ndani kwa haraka haraka atakua anafanya kazi gani....?
Dogo, assets huwa hazikai ndani. Sijui mwenzetu definition yako ya asset ni ipi?
TV, Fridge, freezer, ndio unasema asset?
 
Habari za humu ndani
Mabibi, Mabwana na Nk.....

Jamani nimekaa nikiwaza mda huu usiku wa 1:07 Am usiku.
Ni kweli tunapitia hali ngumu ya maisha lakini hii sio sababu ya kukufanya kutoweza kuwa na hisia.

Ukiachana na ushauri wa DR HAYA LAND sijui mambo ya retention ila kuna kitu sasa kwangu kimekua shida.

Katika harakati zangu hizi nazofanya mda mwingi nakua karibu na wadada. Tena unakuta wadada wale konki watoto watoto kweli.

Lakini pia acha hao watoto kuna mashangazi pia kuna wake za watu.

Hapa kwenye wake za watu nilishawahi kufatwa na wahuni wa hapa hapa wakanipa short description kuhusu wake za watu.

Ila walisema kwa utani utani tu..
On point ipo hivi. Kuna kadada hapa aisee kamekua kakinichanganya sana medulla oblongata yangu.

Kwanini kananichanganya. Kwanza ni kadogo kadogo. Lakini pia ni kazuri kweli kweli na kameanza kunizoea kiasi ambacho........ Mmmh au basi Ukute jamaa yupo humu

Sasa jambo linalonipa shida huyu mdada kuna mda anakuaga na jamaa ake na huyu jamaa ake ni shababi kweli kweli..

Mdada ndani ana asset kama zote kwa haraka haraka unaweza sema ameolewa ila mmmh hapana...

Na kama ajaolewa je huyu jamaa ake atakua anafanya kazi gani...?

Na je hivo kula demu wa mtu adhabu utapata sawa sawa kama ya aliyekula mke watu....?

Je mtu mpaka unaambiwa anaendaga congo what means ni mjeda au kuna nini kingine kongo huko...?

La mwisho hivi mdada mpaka anakua na asset nyingi ndani kwa haraka haraka atakua anafanya kazi gani....?
Vita yako na wazee imeisha? Yahurumie marinda yako dogo!
 
Back
Top Bottom