Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha haya aisee
Household chatles are not in favof of any business. How comes you treat them as assets?By dfn
Assets ...a useful or valuable thing or person
Eg Furniture
Unafanyiwa baya kwa kuingilia investments za watu. Watu wanagharamia halafu wewe unaleta upumbavu wako wa mjini msingi kiuno?Mkuu kuna mke na duu..
Hapo je ni vipi anifanyie baya wakati na yeye ajaoa ..?
Hapna ni miongoni mwa wana nchi ambao huwa wanaweza kukupa majibu roho inapenda ahaahSasa hao unaowaita ndiyo wataalam wa saikolojia?
Ilibidi nisiite assets hivo niite vipi ilinnika edit mkuuHousehold chatles are not in favof of any business. How comes you treat them as assets?
Unatumia furniture yako nyumbani kuzalishia nini?
Mkuu mbona una maneno makali hivi...Roho ya mauti inakunyemelea. Take this from me.
Daaah tajiri wewe umeshikilia mambo ya kuuana tu....Unafanyiwa baya kwa kuingilia investments za watu. Watu wanagharamia halafu wewe unaleta upumbavu wako wa mjini msingi kiuno?
There is six million ways to die, choose one.
Anachukulia easyMaisha haya aisee
Ndio FurnitureAna viwanja ndani au kwako asset umemaanisha TV na sofa?
Mkuu Niko ndani long time comradeKaribu cde. Karibu chamani .
Mmmmmh nitauponza eeeeeh!!!!!!????Utauponza.
Haya ni maneno tu ya ukali, hayadhuru, subiri kufanyiwa vitendo vya kikatili.Mkuu mbona una maneno makali hivi...
Ahaa SawaNdio Furniture
Duuuh unafanya nianze kuogopa sasa...Haya ni maneno tu ya ukali, hayadhuru, subiri kufanyiwa vitendo vya kikatili.
Biblia imekuonya, usitamani Mali ya jirani yako, wala punda wake, wala ng'ombe wake, wala shamba lake, wala chochote alichonacho jirani yako.
TAMAA ILIUA FISI.
Au ilibidi nitumie lugha ipi mkuu tofauti na assetAhaa Sawa
Si umesha ambiwa usitamani chochote alichonacho jirani yako, yaani usitamani hata demu wake wala mchepuko wake.Duuuh unafanya nianze kuogopa sasa...
Mkuu mtu hata ukute ajaoa bado ya nini kuogopa..
Na kama ajaolewa je huyu jamaa ake atakua anafanya kazi gani...?
shida imeanzia hapa. ww huwezi kuwa mwanaume kwa muandiko huuSasa jambo linalonipa shida huyu mdada kuna mda anakuaga na jamaa ake na huyu jamaa ake ni shababi kweli kweli..