Mwanamke akutwa amefariki Gesti Sinza Mori akiwa na Majeraha ya vitu vyenye ncha kali

Mwanamke akutwa amefariki Gesti Sinza Mori akiwa na Majeraha ya vitu vyenye ncha kali

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Katika tukio la kushtua, mwanamke mmoja anayeitwa Aisha Athuman, ambaye alikuwa muhudumu katika nyumba ya kulala wageni ya Sesa, iliyoko Sinza Mori, Jijini Dar es Salaam, amepatikana akiwa amefariki dunia, huku mwili wake ukiwa na majeraha ya kuchomwa na kisu.

Mwenyekiti wa Sinza, Ally Mgaya, amethibitisha kutokea kwa kadhia hii. Pia, mmiliki wa nyumba ya kulala wageni hiyo alielezea uhusiano wake wa kazi na Aisha kabla ya kifo chake.
Video: Manara TV

Pia, Soma:
+
Miili ya wanawake wawili yaokotwa Dodoma
 
Pole kwa wafiwa, litakuwa linahusiana na mahusiano yenyewe bila shaka
 
Nimekuja spidi maana huku napo Kuna sinza Mori Kumbe ni ya dar, pumzika kwa Amani, mdada
 
Back
Top Bottom