Mwanamke alivyomsaidia mumewe kumbaka mwanawe wa miaka minne

Kuna siku natoka rumande pale dawati la jinsia na watoto.
Kuna msichana kaletwa na shangazi yake amebakwa na mjomba wake alikuwa anachukuliwa maelezo.sijui waliishia wapi .
Mungu anilinde na tamaa hizo
 
Angemuingilia nje ya USHIRIKINA mtoto asingepata madhara makubwa kiasi hicho, jini wa mganga ndiye aliyeharibu tupu za mtoto. Mixer ya damu ya mtoto na shahawa ndio nguvu ya giza ilihitaji ili kutengeneza dawa ya utajiri na nguvu fulani kwa jamii. Nimeyajua haya kwa sababu mm nimewahi kuwa mshirika wa uchawi ila sijawahi kudemostrate kwa vitendo hiyi ni NB
 
Ila kuna kesi nyingine za kubaka ni visasi, mama wa mtoto alibana miguu mtoto asifurukute kwamba mtoto wa miaka 4 Ana nguvu gani kumshinda mwanaume wa miaka 18+

Alafu stori ni mama alimkuta chumbani kambananisha Naye bila kuuliza akaunga tela kumbana miguu (kama ni hivi lao lilikuwa Moja mbona hakuchukuliwa hatua)
 
Mkuu kama utawiwa siku moja anzishaa mada kuhusu icho kitu na mchakato wake mzima tafadhali.
 
Mungu wangu..mpaka tumbo limecheza ..mbona ukatili hivi
 
Waambieni majaji kwamba siku huyo mbwa akikata rufaa na kushinda. Mimi nitawapa hela wahuni wakamfanyie kitu ambacho ataomba akatafute hifadhi gerezani.
Hatuwezi kuvumilia ujinga.
Kule Pakistani Kuna mjinga alikata rufaa , watu wakawafuata majaji na kuwaambia LIVE kwamba mkimuachia yule bwana na kutompa adhabu ya kifo, Basi mtashuhudia vifo kwenye familia zetu na mwisho itakua Ninyi.
 
Huyo mwanaume na mwanamke walikuwa waathirika wa magonjwa ya akili. Binadamu wa kawaida aliye timamu hawezi kufanya mambo ya aina hiyo.
 
Hivi kama haya mambo yalitokea kweli huyo bint atakuwa na mahusiano mazuru na mama yake mzazi
 
Wanaume sisi Mungu atusaidie aiseh!! Najiuliza jamaa jogoo aliwikaje katika Hali kama HIYO!!
Naamini sio akili yake...si hali ya kawaida ..maana hapo alimwona katoti kama kabinti kárembooo..loh.Ila la kujifunza ni kuwa tuache kuzaa hovyo..kweli watoto waluozaliwa nje ya ndoa ..wanahatari zaidi ...
 
Wanaume sisi Mungu atusaidie aiseh!! Najiuliza jamaa jogoo aliwikaje katika Hali kama HIYO!!
Issue za ushirikina izo unakuta aliambiwa na mganga akimla mtoto wake atapata utajiri ndo maana na ujinga wa maza wa mtoto aka support huo ukatili, single mothers baadhi wanazngua sana
 
Ushirikina ni kitu kibaya sana, Ila humu unakuta watu wengi wanasapoti hayo mambo. Matukio kama haya mengi yao hua Imani ya kishirikina ipo nyuma yake.
 

Sijui ni kwanini huyo mama mzazi (Agnes Mwakisyala) na yeye hakushtakiwa kwa kumsaidia mbakaji kutenda uhalifu huo wa kubaka?
 
Sijui ni kwanini huyo mama mzazi (Agnes Mwakisyala) na yeye hakushtakiwa kwa kumsaidia mbakaji kutenda uhalifu huo wa kubaka?
Umesema kweli tupu! Huyo nae ilikuwa maisha pia! Takataka hizi! Alimzaa wa nini mbwa huyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…