Mwanamke aliyeachwa au mjane, Je! akiolewa tena anatolewa Mahari?

Mwanamke aliyeachwa au mjane, Je! akiolewa tena anatolewa Mahari?

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,033
Reaction score
895
Kwa Washenga au Kungwi?

Nafahamu wapo Wanawake waliopewa Talaka au wajane humu tunapoishi, napia kuachwa sio dhambi tafsiri nyepesi Talaka ni seal au lakiri inayofungia ndoa, kwa lugha utangazaji wangesema "usichike kidude"

Narudi kwenye swali. Mwanamke aliyekwenye kipengele hicho Talaka au Mjane, ikitokea amepata anayetaka kufunga na ndoa atapitia hatua zilezile za awali? Kutuma Mshenga na Mahari?
 
FB_IMG_16453822942415627.jpg
 
Kwa Washenga au Kungwi?

Nafahamu wapo Wanawake waliopewa Talaka au wajane humu tunapoishi, napia kuachwa sio dhambi tafsiri nyepesi Talaka ni seal au lakiri inayofungia ndoa, kwa lugha utangazaji wangesema "usichike kidude"

Narudi kwenye swali. Mwanamke aliyekwenye kipengele hicho Talaka au Mjane, ikitokea amepata anayetaka kufunga na ndoa atapitia hatua zilezile za awali? Kutuma Mshenga na Mahari?
Nafikiri hivyo
 
Misingi ya mahari nizawadi ya bikra kwa muolewaji ndugu. Sasa sijajua mtangulizi wako alifeli wapi mpaka wewe ukute kitu kinyanya
 
Unatoaje mahari kwa mtu aliyeolewa tayari!,mahari ni zawadi ili ukakate utepe,sasa mjane ana utepe mpaka umtolee mahali?
 
Back
Top Bottom