Mwanamke aliyefundwa hasubiri kuombwa tendo la ndoa na mumewe

Mwanamke aliyefundwa hasubiri kuombwa tendo la ndoa na mumewe

0897

Member
Joined
Feb 25, 2022
Posts
39
Reaction score
92
"Mwanamke aliyefundwa hasubiri kuombwa tendo la ndoa na mumewe, Mume kukuomba tendo la ndoa ni ishara kuwa wewe hujui nafasi yako kwake.

Mwanamke mwenye akili na mwenye kujali ndoa yake hutengeneza mazingira ya tendo kwa mumewe kwa kujipamba kwa manukato mazuri na nguo zitakazomvuta mumewe kihisia.

Tendo la ndoa haliombwi kinywani, bali linatengenezwa kwa mazingira ya upendo ndani ya nyumba kiasi cha kuwafanya mume na mke kutamaniani kila muda bila hata kuombana mili yao.

Mwanamke usitengeneze tabia ya kuombwa tendo la ndoa, ni kujitukanisha kwa mwanaume, Mfanye mwanaume ashiriki na wewe tendo bila hata kukuomba.

Kukuomba tendo ni matusi makubwa maana yake wewe si kitu chenye maana kwake, anakuomba tu kwa haja zake akimaliza atakuomba tena siku nyingine akiwa na haja na wewe. Tengeneza mazingira ya tendo kwa mumeo bila hata kukuomba.

Katika ndoa kuna vitu vidogo sana unaweza kuona vya kipuuzi lakini hivyo ndiyo vikawa himaya ya ndoa,
Ndoa ni kuthaminiana na kuhurumiana. Usijione bora mbele ya mwezio, jishushe kwake naye ajishushe kwako na hiyo ndiyo hakika ya pendo."
 
"Mwanamke aliyefundwa hasubiri kuombwa tendo la ndoa na mumewe, Mume kukuomba tendo la ndoa ni ishara kuwa wewe hujui nafasi yako kwake.

Best yangu mmoja alitemea mate mbunye ya kibwengo chake yeye hutumia neno kibwengo cha kunyumba
 
HAYO YOTE ANAYEJUA NA KUFANYA VIZURI NI MCHEPUKO

Kweli mkuu mchepuko wana-care mno hadi unajihisi toto linalodekezwa. Uvuliwe nguo ubembelezwe kula awajulie hali watoto wako na mkeo yaani hataki hata uondoke kwake au atakukumbusha nenda nyumbani na we ukifikiria kero unazo enda kukutana nazo nguvu inakuisha na nikuhakikishie bila michepuko ndoa zisinge kuwepo au kudumu basi hizi haki zao zinaingilia kati ila michepuko inajitambua
 
Kweli mkuu mchepuko wana-care mno hadi unajihisi toto linalodekezwa. Uvuliwe nguo ubembelezwe kula awajulie hali watoto wako na mkeo yaani hataki hata uondoke kwake au atakukumbusha nenda nyumbani na we ukifikiria kero unazo enda kukutana nazo nguvu inakuisha na nikuhakikishie bila michepuko ndoa zisinge kuwepo au kudumu basi hizi haki zao zinaingilia kati ila michepuko inajitambua
Umenena mkuu.
 
HAYO YOTE ANAYEJUA NA KUFANYA VIZURI NI MCHEPUKO
Amka usingizini wewe unaibiwa, ebu sitisha kutoa matumizi hata kwa dakika 1 tu kwa mchepuko kisha ulete mrejesho hapa [emoji847]

Unadhani Mchepuko hauhitaji kuwa na familia yake(Mumewe na Watoto wake) ili uenjoy maisha yake kuliko kuwa dampo la majasho yako na manii yako kila siku hadi kufa kwake [emoji848][emoji23]

Hujiulizi ni asilimia ngapi ya michepuko hupambana vyovyote vile kwa waganga wa kienyeji kukugeuza zombi ili Mke wako wa ndoa na Watoto wako washindie mihogo na maharagwe wakati huo huo uwe unalipia kuku wa kienyeji, pilau, supu za samaki, asali na maziwa kwa mchepuko [emoji848][emoji1787]
 
Hivi mi ndo sielewi mpk uombwe ubembelezwe,kwani we unakuwa hujisikii?
Kwann usiandae mazingira huyo mwanaume akija anakuwa anaelewa kuwa unamhitaji?
Mi wanawake kuna wakati siwaelewi jmn!

Yaani kiukweli katika pita pita zangu kwa wanaume wa kizazi hiki ,wanawake wengi ndo wanawapush wanaume kwenda nje kwa sbb tofauti tofauti!
 
Kweli mkuu mchepuko wana-care mno hadi unajihisi toto linalodekezwa. Uvuliwe nguo ubembelezwe kula awajulie hali watoto wako na mkeo yaani hataki hata uondoke kwake au atakukumbusha nenda nyumbani na we ukifikiria kero unazo enda kukutana nazo nguvu inakuisha na nikuhakikishie bila michepuko ndoa zisinge kuwepo au kudumu basi hizi haki zao zinaingilia kati ila michepuko inajitambua
Sipendi uchepukaji ila kwa hali ilivyo aisee usemacho ni kweli!
Michepuko wanajua kukaa Kwenye nafasi bwana asikwambie mtu
 
Amka usingizini wewe unaibiwa, ebu sitisha kutoa matumizi hata kwa dakika 1 tu kwa mchepuko kisha ulete mrejesho hapa [emoji847]

Unadhani Mchepuko hauhitaji kuwa na familia yake(Mumewe na Watoto wake) ili uenjoy maisha yake kuliko kuwa dampo la majasho yako na manii yako kila siku hadi kufa kwake [emoji848][emoji23]

Hujiulizi ni asilimia ngapi ya michepuko hupambana vyovyote vile kwa waganga wa kienyeji kukugeuza zombi ili Mke wako wa ndoa na Watoto wako washindie mihogo na maharagwe wakati huo huo uwe unalipia kuku wa kienyeji, pilau, supu za samaki, asali na maziwa kwa mchepuko [emoji848][emoji1787]
Ukweli mchungu, wake wengi hawajakaa Kwenye nafasi zao!
Wakishaolewa wanaona wamemaliza
Ss shida zinapotokea mtu anapochepuka ndo anakutana na majanga km haya ulivyosema,chanzo anakuwa mke!(sio mara zote,lkn %kubwa)

Na mchepuko anajua kucheza na gap,sbb wanaume huwa wanatoa siri za wake zao (madhaifu,wanaposhindwa) ili kupata relief za stress halafu yule mwanamke wa nje anakaa humo Kwenye gap vzr sna!
 
Ukweli mchungu, wake wengi hawajakaa Kwenye nafasi zao!
Wakishaolewa wanaona wamemaliza
Ss shida zinapotokea mtu anapochepuka ndo anakutana na majanga km haya ulivyosema,chanzo anakuwa mke!(sio mara zote,lkn %kubwa)

Na mchepuko anajua kucheza na gap,sbb wanaume huwa wanatoa siri za wake zao (madhaifu,wanaposhindwa) ili kupata relief za stress halafu yule mwanamke wa nje anakaa humo Kwenye gap vzr sna!
Case study imetokea kwa Baba Mkwe wa Kaka yangu wa damu, alikuwa akiishi vizuri sana na familia yake ya Mke na watoto wa4.

Baada ya miaka 25 ya ndoa, akachepuka na kuangukia pua kwa Ke Mdigo(Mtanga).
Ndipo watoto wake na Mke wake walipoanza kushindia mihogo na dagaa chukuchuku nakati kabla ya hapo kila siku familia yake ilikuwa ikiishi vizuri kwa amani ya kutosha na msosi ulikuwa ni ugali au mchele kwa samaki au kwa nyama kisha kushushia juisi, soda na matunda, yani hata mboga za majani zilikuwa hazijulikani kwa kutojua zina umuhimu kiafya bali iliaminika kama ni umaskini.

Mwaka jana kastaafu kazi na kupata zaidi ya M 110 lakini cha ajabu familia yake halali ya ndoa ilipatiwa mgawo wa pesa za kustaafu kwa kumpatia Mtoto wake mkubwa M 2 tu, Mkewe alimpatia M 1 tu hadi aligoma kuichukua na watoto wengine aliwapatia laki 5, 5 kisha pesa zingine zooote aliziacha kwa mchepuko.

Maisha anayoishi utamuhurumia kwakweli, anatamani kurudi lakini anashindwa maana kashapukutika na hakuna matunzo yoyote anayopewa maana anaweza kushindia mlo m1 kwa siku ilihali bado anapata nusu mshahara wa kazi aliyostaafu nayo.

Mikasa mingine ninayo chungunzima toka kwa ndugu, marafiki na majamaa ambapo nikisikia mtu anasifia mchepuko huwa natamani kulia kwa athari mbali mbali nilizoziona ktk Jamii.

Mungu anisaidie nisijejikwaa ktk hii dhambi ya michepuko maana nafurahia ndoa na hakika Mungu kanipatia Mke Mwema.
 
Case study imetokea kwa Baba Mkwe wa Kaka yangu wa damu, alikuwa akiishi vizuri sana na familia yake ya Mke na watoto wa4.

Baada ya miaka 25 ya ndoa, akachepuka na kuangukia pua kwa Ke Mdigo(Mtanga).
Ndipo watoto wake na Mke wake walipoanza kushindia mihogo na dagaa chukuchuku nakati kabla ya hapo kila siku familia yake ilikuwa ikiishi vizuri kwa amani ya kutosha na msosi ulikuwa ni ugali au mchele kwa samaki au kwa nyama kisha kushushia juisi, soda na matunda, yani hata mboga za majani zilikuwa hazijulikani kwa kutojua zina umuhimu kiafya bali iliaminika kama ni umaskini.

Mwaka jana kastaafu kazi na kupata zaidi ya M 110 lakini cha ajabu familia yake halali ya ndoa ilipatiwa mgawo wa pesa za kustaafu kwa kumpatia Mtoto wake mkubwa M 2 tu, Mkewe alimpatia M 1 tu hadi aligoma kuichukua na watoto wengine aliwapatia laki 5, 5 kisha pesa zingine zooote aliziacha kwa mchepuko.

Maisha anayoishi utamuhurumia kwakweli, anatamani kurudi lakini anashindwa maana kashapukutika na hakuna matunzo yoyote anayopewa maana anaweza kushindia mlo m1 kwa siku ilihali bado anapata nusu mshahara wa kazi aliyostaafu nayo.

Mikasa mingine ninayo chungunzima toka kwa ndugu, marafiki na majamaa ambapo nikisikia mtu anasifia mchepuko huwa natamani kulia kwa athari mbali mbali nilizoziona ktk Jamii.

Mungu anisaidie nisijejikwaa ktk hii dhambi ya michepuko maana nafurahia ndoa na hakika Mungu kanipatia Mke Mwema.
Hakyamama Mungu ananiona,hunichukulii mume kifala hivyo,heheee labda km Mungu hayupo!
Yaani huo mpambano wake Mungu ndo anajua!

Km anausikiaga ule mstari wa" usimuache mwanamke mchawi aishi "unavyofanya kazi basi ataelewa
Sbb kiukweli hapo nguvu za giza tu zimetumika,hakuna mwanaume Kwenye akili timamu anaweza fanya hivyo!
 
Back
Top Bottom