Amka usingizini wewe unaibiwa, ebu sitisha kutoa matumizi hata kwa dakika 1 tu kwa mchepuko kisha ulete mrejesho hapa [emoji847]
Unadhani Mchepuko hauhitaji kuwa na familia yake(Mumewe na Watoto wake) ili uenjoy maisha yake kuliko kuwa dampo la majasho yako na manii yako kila siku hadi kufa kwake [emoji848][emoji23]
Hujiulizi ni asilimia ngapi ya michepuko hupambana vyovyote vile kwa waganga wa kienyeji kukugeuza zombi ili Mke wako wa ndoa na Watoto wako washindie mihogo na maharagwe wakati huo huo uwe unalipia kuku wa kienyeji, pilau, supu za samaki, asali na maziwa kwa mchepuko [emoji848][emoji1787]