Best yangu mmoja alitemea mate mbunye ya kibwengo chake yeye hutumia neno kibwengo cha kunyumba
Pamoja na maelezo yako bado hapo Mchepuko anastahili kupewa A+ kwa sababu:-Amka usingizini wewe unaibiwa, ebu sitisha kutoa matumizi hata kwa dakika 1 tu kwa mchepuko kisha ulete mrejesho hapa [emoji847]
Unadhani Mchepuko hauhitaji kuwa na familia yake(Mumewe na Watoto wake) ili uenjoy maisha yake kuliko kuwa dampo la majasho yako na manii yako kila siku hadi kufa kwake [emoji848][emoji23]
Hujiulizi ni asilimia ngapi ya michepuko hupambana vyovyote vile kwa waganga wa kienyeji kukugeuza zombi ili Mke wako wa ndoa na Watoto wako washindie mihogo na maharagwe wakati huo huo uwe unalipia kuku wa kienyeji, pilau, supu za samaki, asali na maziwa kwa mchepuko [emoji848][emoji1787]
Kuna Dada mmoja, ambaye njia ninayopita huwa tunagongana mara kwa Mara, ana shughuli zake maeneo hayo. Siku moja akaniita aliponiona, nikaenda bwana, baada ya salamu akaniambia "leo jioni naomba uje home kwangu" nikamwambia kuna issue gani mrembo? Jibu lake 'nataka leo uje uklnikaze, kwa nini niteseke na wewe upo na ninakuona kila mara? " aisee nikabaki speechless kwa sababu sikutarajia... Ghafla akaendelea" sasa hapo cha ajabu nini wewe? Acha ushamba bwanaaa "....Hivi mi ndo sielewi mpk uombwe ubembelezwe,kwani we unakuwa hujisikii?
Kwann usiandae mazingira huyo mwanaume akija anakuwa anaelewa kuwa unamhitaji?
Mi wanawake kuna wakati siwaelewi jmn!
Yaani kiukweli katika pita pita zangu kwa wanaume wa kizazi hiki ,wanawake wengi ndo wanawapush wanaume kwenda nje kwa sbb tofauti tofauti!
Wadigo noma sana [emoji23][emoji23]Case study imetokea kwa Baba Mkwe wa Kaka yangu wa damu, alikuwa akiishi vizuri sana na familia yake ya Mke na watoto wa4.
Baada ya miaka 25 ya ndoa, akachepuka na kuangukia pua kwa Ke Mdigo(Mtanga).
Ndipo watoto wake na Mke wake walipoanza kushindia mihogo na dagaa chukuchuku nakati kabla ya hapo kila siku familia yake ilikuwa ikiishi
Hatari sana [emoji4]Wadigo noma sana [emoji23][emoji23]
HAYO YOTE ANAYEJUA NA KUFANYA VIZURI NI MCHEPUKO
Safi sana..mwanaume msimamoMimi nilipiga chini mhaya mwenzangu
Pesa zangu ale, nimhudumie vema halafu utamu kwa ratiba. Ananiambia eti upendo sio ngono tu, ananiletea za kwenye drama zao wakishaangalia vi tamthiliya vyao Netflix. Nikamfungia vioo. Sasa hivi anasumbua kwelikweli. Nami nina moyo wa moto na mgumu sirudi nyuma. Anabaki kusema nina roho ngumu.
π°πππππ ππHivi mi ndo sielewi mpk uombwe ubembelezwe,kwani we unakuwa hujisikii?
Kwann usiandae mazingira huyo mwanaume akija anakuwa anaelewa kuwa unamhitaji?
Mi wanawake kuna wakati siwaelewi jmn!
Yaani kiukweli katika pita pita zangu kwa wanaume wa kizazi hiki ,wanawake wengi ndo wanawapush wanaume kwenda nje kwa sbb tofauti tofauti!
Ni kweli mkuuUmenena mkuu.
Kumbuka ata mkeo ashawahi kuwa mchepuko wa mtu usidhan ety hajui ku care anajua sana ila kakuchokaKweli mkuu mchepuko wana-care mno hadi unajihisi toto linalodekezwa. Uvuliwe nguo ubembelezwe kula awajulie hali watoto wako na mkeo yaani hataki hata uondoke kwake au atakukumbusha nenda nyumbani na we ukifikiria kero unazo enda kukutana nazo nguvu inakuisha na nikuhakikishie bila michepuko ndoa zisinge kuwepo au kudumu basi hizi haki zao zinaingilia kati ila michepuko inajitambua