hibiscus interior
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,168
- 595
Uzee ukale na bint. Jiandae kisaikolojia .Natafuta Mke mwenye maadili mema, mwenye tabia ya upole ,uvumilivu uaminifu na upendo wa dhati kwa mume. Awe na umri kuanzia miaka 25-38 kabila lolote.umri wangu miaka 40 , aliyetayari ani pm.
Me Huwa sichelewagi nikiamua natumia mapene tu sidhani kama utakataa na ukikataa naongeza![emoji23] looih!!!umechelewaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pesa?!!ndo mapenziiiMe Huwa sichelewagi nikiamua natumia mapene tu sidhani kama utakataa na ukikataa naongeza!
Aaaah!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi malkia wa nyuki weeee!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]occupied
Me Sijui Mapenzi kabisa maana nikiwa sina pesa hata siwatamanigi... Na Nikiwa Nazo huwa hata sipati shida na asikuambie mtu bila pesa hata iwe Ndoa itaenda down na utachapiwa tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] pesa?!!ndo mapenziii
Swali la msingi sana hili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]una ela??
We nawewe Nenda Mtandao wa Badoo utawakuta wanakusubiri... Humu wengi wana watu wao... Me Mwenyewe siwanii Demu humu... Kitaani kwetu kuna Mademu kama 20 hivi wanavizia wanaume balaa na karibu wote wamezaa ila ndio wanazungukana tu akihamia mgeni wananifanya nitoke asubuhi mapema na kurejea mida ya night kaliNi kweli niko serious!
here iam nitumie no.zakoIts serious jitokeze!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me Sijui Mapenzi kabisa maana nikiwa sina pesa hata siwatamanigi... Na Nikiwa Nazo huwa hata sipati shida na asikuambie mtu bila pesa hata iwe Ndoa itaenda down na utachapiwa tu
Aaaah!!
Haya bhana, bas vzuri kama ni hivo
ahahaa sijui niendehuo umri unanifaa sema ndo nshawahiwa nisingewahiwa ningekuja pm fastaaaa
Natafuta Mke mwenye maadili mema, mwenye tabia ya upole ,uvumilivu uaminifu na upendo wa dhati kwa mume. Awe na umri kuanzia miaka 25-38 kabila lolote.umri wangu miaka 40 , aliyetayari ani pm.
anaetafuta ni nani hapaKina dada aliye tayri naomba niulize swali 1 dogo kupitia inbox