Mwanamke ambaye alijifungua kwa operation (kwa kisu), anaweza kujifungua tena kwa njia ya kawaida?

Mwanamke ambaye alijifungua kwa operation (kwa kisu), anaweza kujifungua tena kwa njia ya kawaida?

Raundi ya kwanza walidai ana nyonga ndogo, yeye alikuwa na miaka 19 na imepita miaka minne na nusu sasa, sijui kama raundi hii atakuwa poa!
nyonga ndogo haisababishwi na umri ni maumbile tu. kuna watoto wa miaka 15 hujifungua kawaida. Hata mtoto anayefuata atajifungua kwa kisu. Akijaribu kujifungua kawaida ni hatari kwa mama na mtoto
 
Inategemea na shida iliyo sababisha ufanyiwe operation isipo jirudia utajifungua kawaida nna mifano miwili ya watu wangu WA karibu
 
Back
Top Bottom