Mwanamke ameamua kuingia mtaani kusaka mwanaume wa kumuoa

wilcoxon

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2017
Posts
1,142
Reaction score
2,947
Mwanamke mmoja nchini Kenya ameamua kuingia mtaani kusaka mume huku akiwa amebeba bango katikati ya jiji la Nairobi. Akiwa amevalia nguo nyeupe- kama ya harusi- mwanamke huyu mwenye umri wa miaka 28, Pris Nyambura, amebeba bango linalosema: “Nahitaji mume, nina mtoto wa kike wa miaka saba.”

 
Af et kuna wanawake bado wanajiona bab kubwa
 
Mhmh!.

Wenzetu Kenya mmeshindwa kumuoa?

Mwambieni aje Tz.
 
Noma sana.
Ila muonekano wake na umri wa miaka 28 havina uhusiano
 
Gharama ya gauni la harusi na shela weka pembeni....naona kajipanga aise!

Dukueni namba hiyo jamani, mimi nimetuma text tayari...nasubiri majibu tu.
 
angekuwa bongo ningemuwahi mimi ili nijitoe kwenye CHAPUTA maana CHAPUTA adi mkono unapinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…