mi nimecheza game na wife mwezi wa sita bila mafanikio. Juzi ndo nimeenda hosp kufanya vipimo vyote viko ok ishu ni mirija iliziba kipimo kinauma hatari wamezibua so na wait wife ameanza bleed leo akimaliza tu wamenambia nianze kazi tuone kama itaingia au lah
Mkuu mirija iliyoziba ni yako au ya wife...?