Pre GE2025 Mwanamke anahaki ya kuongoza taifa hili. Watu waelewe nchi yetu haiongozwi na Dini wala Mila na desturi bali Katiba ya Nchi

Pre GE2025 Mwanamke anahaki ya kuongoza taifa hili. Watu waelewe nchi yetu haiongozwi na Dini wala Mila na desturi bali Katiba ya Nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu naona juzi umetekenywa kidogo kuhusu kupata nafasi ya uandishi huko juu, naona unajaribu kuimpress mamlaka za uteuzi kwa post za kichawa. Sio vibaya kiutaftaji, lakini ni kama umeshoboka kirahisi mno😂

Ningekuwa natafuta teuzi ningekuwa nishapata Mkûu.

Nazungumzia uhalisia wa mambo
 
Kûna clip naziona mtandaoni zinasambaa zinazojaribu kueleza kuwa mwanamke hatakiwi KUONGOZA lakini wanashindwa kumalizia kuwa hapaswi KUONGOZA katika muktadha wa Kidini tenà Dini Fulani. Au Mila na desturi Fulani
Hakuna chochote wanachoweza kufanya hata kama dini fulani au mila fulani haziruhusu.
 
MWANAMKE ANAHAKI YA KUONGOZA TAÍFA HILI. WATU WAELEWE NCHI YETU HAIONGOZWI NA DINI WALA MILA NA DESTURI BALI INAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Jàmani! Jàmani! Msijifanye hamnazo. Msiwe vipofu Wakati mnamacho.

Mimi Mtu nikimsikia akiongea mambo ya Mila na desturi akiwa anamaanisha Mila za Makabila ñàona kama anajizima data na kujitia hamnazo.
Hakuna Mila Wala desturi za kikabila tangu Ukabila ulipofutwa na kuunda Taífa la Tanzania.

Mimi Mtu akiniletea mambo ya sijui Sisi Wapare, sijui Wasukuma, sijui wahaya namwona kama anaongea mambo ya Zama za Giza yaliyokwisha kupitwa na Wakati.

Kama mlikuwa Mnataka Mila na desturi ziendelee msingeunda Taífa Moja. Kîla kabila lingeunda Taífa lake. Lakini mlikubali wènyewe kuzika Ukabila yàani Mila na desturi za kikabila ili kuunda Taífa Moja àmbalo litaongozwa na KATIBA àmbayo ndîo Mila na desturi mpya.

Oooh! Mwanamke hatakiwi KUONGOZA, sijui Mila zetu, Mila zîpi? Za Wapi? Mila zenu na Nani?

Oooh! Dini Inasema, sijui Nabii Fulani sijui mtume Fulani, sijui Kitabu Fulani kinakataza Mwanamke asiongoze.
Aliyekuambia Taífa hili linaongozwa na Dini Fulani au mtume Fulani au Nabii Fulani au kitabu Fulani ni Nani?

Nchi hii Haina Dini. Ila Watu wake wanadini na wàpo wasio na Dini.

Unaposema Dini yako inakataza Mwanamke asiongoze vipi Kwa wale wasio na Dini àmbao hawaoni shida mwanamke KUONGOZA?
Vipi Kwa Dini Ambazo zinaruhusu Mwanamke KUONGOZA?

Katiba ndîo Biblia ya Taífa hili.
Sheria za nchi ndîo Torati ya Taífa hili
Taífa letu ndîo Dini yetu watanzania.

Sisi Watibeli hatuoni shida Mwanamke KUONGOZA Ikiwa anauwezo Kwa Sababu tunajua wàpo Wanawake weñye kupenda uongozi, weñye Nia na uwezo, na weñye ujuzi wa kufanya hivyo.

Sisi kama Wanaume wa kitibeli hatutaki kupendelewa tunataka Haki.
Halikadhalika wanawake wa kitibeli hawataki kupendelewa isipokuwa Haki.

Yaani mwanamke asipewe uongozi Kwa uanamke wake Bali uwezo wake.

Watibeli hatutaki kusikia habari za VITI MAALUMU Kwa sababu Huko NI kudhalilisha Wanawake kuwa ni viumbe Duni wanaotakiwa kubebwabebwa kama MAITI zisisoweza kujitetea.

Viti maalumu ni udhalilishaji Kwa Wanawake, ukanjanja. Viti maalumu ni dhulma Kwa Wanawake Kwa sababu inawanyima Haki Wanawake kuonyesha uwezo waô halisi.

Mimi Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Kwahiyo unabishana na aliyoyaamrisha ALLAH (S.A.W) ? Wewe kama nani?

Mwanamke hajaumbwa kumuongoza Mwanaume, hivyo ndivyo Quran aliyoshishiwa Mtume Muhammad (Rehma zimfikie) itakavyo
 
Kwahiyo unabishana na aliyoyaamrisha ALLAH (S.A.W) ? Wewe kama nani?

Mwanamke hajaumwa kumuongoza Mwanaume, hivyo ndivyo Quran aliyoshishiwa Mtume Muhammad (Rehma zimfikie) itakavyo

Allah sio mungu wa Watañzania ila wàpo baadhi ya watañzania wanamuamini.
 
MWANAMKE ANAHAKI YA KUONGOZA TAÍFA HILI. WATU WAELEWE NCHI YETU HAIONGOZWI NA DINI WALA MILA NA DESTURI BALI INAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Jàmani! Jàmani! Msijifanye hamnazo. Msiwe vipofu Wakati mnamacho.

Mimi Mtu nikimsikia akiongea mambo ya Mila na desturi akiwa anamaanisha Mila za Makabila ñàona kama anajizima data na kujitia hamnazo.
Hakuna Mila Wala desturi za kikabila tangu Ukabila ulipofutwa na kuunda Taífa la Tanzania.

Mimi Mtu akiniletea mambo ya sijui Sisi Wapare, sijui Wasukuma, sijui wahaya namwona kama anaongea mambo ya Zama za Giza yaliyokwisha kupitwa na Wakati.

Kama mlikuwa Mnataka Mila na desturi ziendelee msingeunda Taífa Moja. Kîla kabila lingeunda Taífa lake. Lakini mlikubali wènyewe kuzika Ukabila yàani Mila na desturi za kikabila ili kuunda Taífa Moja àmbalo litaongozwa na KATIBA àmbayo ndîo Mila na desturi mpya.

Oooh! Mwanamke hatakiwi KUONGOZA, sijui Mila zetu, Mila zîpi? Za Wapi? Mila zenu na Nani?

Oooh! Dini Inasema, sijui Nabii Fulani sijui mtume Fulani, sijui Kitabu Fulani kinakataza Mwanamke asiongoze.
Aliyekuambia Taífa hili linaongozwa na Dini Fulani au mtume Fulani au Nabii Fulani au kitabu Fulani ni Nani?

Nchi hii Haina Dini. Ila Watu wake wanadini na wàpo wasio na Dini.

Unaposema Dini yako inakataza Mwanamke asiongoze vipi Kwa wale wasio na Dini àmbao hawaoni shida mwanamke KUONGOZA?
Vipi Kwa Dini Ambazo zinaruhusu Mwanamke KUONGOZA?

Katiba ndîo Biblia ya Taífa hili.
Sheria za nchi ndîo Torati ya Taífa hili
Taífa letu ndîo Dini yetu watanzania.

Sisi Watibeli hatuoni shida Mwanamke KUONGOZA Ikiwa anauwezo Kwa Sababu tunajua wàpo Wanawake weñye kupenda uongozi, weñye Nia na uwezo, na weñye ujuzi wa kufanya hivyo.

Sisi kama Wanaume wa kitibeli hatutaki kupendelewa tunataka Haki.
Halikadhalika wanawake wa kitibeli hawataki kupendelewa isipokuwa Haki.

Yaani mwanamke asipewe uongozi Kwa uanamke wake Bali uwezo wake.

Watibeli hatutaki kusikia habari za VITI MAALUMU Kwa sababu Huko NI kudhalilisha Wanawake kuwa ni viumbe Duni wanaotakiwa kubebwabebwa kama MAITI zisisoweza kujitetea.

Viti maalumu ni udhalilishaji Kwa Wanawake, ukanjanja. Viti maalumu ni dhulma Kwa Wanawake Kwa sababu inawanyima Haki Wanawake kuonyesha uwezo waô halisi.

Mimi Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Tusipangiane, kila mtu abaki na mtazamo wake. Mimi kwetu ujaluoni ni never ever mwanamke kuwa kiongozi. Nitaheshimu na kufuata sheria kama taratibu ambazo tumekubaliana nchi iongozwe lakini haimaanishi ya kwamba mtazamo wangu utabadilishwa na izo sheria.
 
Tusipangiane, kila mtu abaki na mtazamo wake. Mimi kwetu ujaluoni ni never ever mwanamke kuwa kiongozi. Nitaheshimu na kufuata sheria kama taratibu ambazo tumekubaliana nchi iongozwe lakini haimaanishi ya kwamba mtazamo wangu utabadilishwa na izo sheria.

Hakuna nchi ya wajaluo Wala Taífa la wajaluo.

Rais anayeongoza nchi wanaoishi wajaluo wa Tanzania ni Mwanamke au Mwanaume?
Spika wa Bunge àmbalo wajaluo wanaishi Tanzania ni Mwanaume au mwanamke?

Hiyo Never yako uliyoitaja ni kuridhisha Nafsi yako au kukataa uhalisia?

Kama wewe ni mjaluo lakini Rais wako ni Mwanamke tenà àmbaye siô mjaluo hiyo inakupa pîcha gàni akilini mwako??
 
Adui wa Mwanamke NI Mwanamke mwenzake

Kipi kwako ni chakike, Motherboard au Nafsi yako?
Maana unaumia na kuona wivu kusikia Wanawake wakitetewa.
Hapana sisikii wivu wala kuumia ila napinga ujinga unaoendekeza.
Unawadanganya hawa mabinti, acha tuwaambie ukweli

1) Singo maza.
2) Uongozi kwa mwanamke.

Unaposema katiba haijamkataza Mwanamke, kwani wapi imemtaja mwanaume?(mambo mengine hutatuliwa kwa utashi tu, na kwa utashi wa kawaida, Mwanamke hawezi kuwa kiongozi)
 
Kweli Kwa wanaoamini hivyo lakini siô kweli Kwa wanaoamini katika mîungu Wengine na sio kweli Kwa wasioamini katika mîungu.

Ndîo maana serikali haina Dini maana ikileta Dini patakuwa na machafuko
Serikali ya Tanzania ina Dini mbili Uislam na Ukristo,ndio maana huwa inaomba wazi kwa Imani hizo mbili

Ndio maana pia inawatambua na kuwaalika mara kwa mara viongozi wa Dini hizo Ikulu na katika mikutano mbalimbali

Kusema Serikali haina dini ni Uongo
 
MWANAMKE ANAHAKI YA KUONGOZA TAÍFA HILI. WATU WAELEWE NCHI YETU HAIONGOZWI NA DINI WALA MILA NA DESTURI BALI INAONGOZWA NA KATIBA YA NCHI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Jàmani! Jàmani! Msijifanye hamnazo. Msiwe vipofu Wakati mnamacho.

Mimi Mtu nikimsikia akiongea mambo ya Mila na desturi akiwa anamaanisha Mila za Makabila ñàona kama anajizima data na kujitia hamnazo.
Hakuna Mila Wala desturi za kikabila tangu Ukabila ulipofutwa na kuunda Taífa la Tanzania.

Mimi Mtu akiniletea mambo ya sijui Sisi Wapare, sijui Wasukuma, sijui wahaya namwona kama anaongea mambo ya Zama za Giza yaliyokwisha kupitwa na Wakati.

Kama mlikuwa Mnataka Mila na desturi ziendelee msingeunda Taífa Moja. Kîla kabila lingeunda Taífa lake. Lakini mlikubali wènyewe kuzika Ukabila yàani Mila na desturi za kikabila ili kuunda Taífa Moja àmbalo litaongozwa na KATIBA àmbayo ndîo Mila na desturi mpya.

Oooh! Mwanamke hatakiwi KUONGOZA, sijui Mila zetu, Mila zîpi? Za Wapi? Mila zenu na Nani?

Oooh! Dini Inasema, sijui Nabii Fulani sijui mtume Fulani, sijui Kitabu Fulani kinakataza Mwanamke asiongoze.
Aliyekuambia Taífa hili linaongozwa na Dini Fulani au mtume Fulani au Nabii Fulani au kitabu Fulani ni Nani?

Nchi hii Haina Dini. Ila Watu wake wanadini na wàpo wasio na Dini.

Unaposema Dini yako inakataza Mwanamke asiongoze vipi Kwa wale wasio na Dini àmbao hawaoni shida mwanamke KUONGOZA?
Vipi Kwa Dini Ambazo zinaruhusu Mwanamke KUONGOZA?

Katiba ndîo Biblia ya Taífa hili.
Sheria za nchi ndîo Torati ya Taífa hili
Taífa letu ndîo Dini yetu watanzania.

Sisi Watibeli hatuoni shida Mwanamke KUONGOZA Ikiwa anauwezo Kwa Sababu tunajua wàpo Wanawake weñye kupenda uongozi, weñye Nia na uwezo, na weñye ujuzi wa kufanya hivyo.

Sisi kama Wanaume wa kitibeli hatutaki kupendelewa tunataka Haki.
Halikadhalika wanawake wa kitibeli hawataki kupendelewa isipokuwa Haki.

Yaani mwanamke asipewe uongozi Kwa uanamke wake Bali uwezo wake.

Watibeli hatutaki kusikia habari za VITI MAALUMU Kwa sababu Huko NI kudhalilisha Wanawake kuwa ni viumbe Duni wanaotakiwa kubebwabebwa kama MAITI zisisoweza kujitetea.

Viti maalumu ni udhalilishaji Kwa Wanawake, ukanjanja. Viti maalumu ni dhulma Kwa Wanawake Kwa sababu inawanyima Haki Wanawake kuonyesha uwezo waô halisi.

Mimi Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Sio tuu hakuna mambo ya Mila Wala dini zao kwenye Katiba pia hatuna Ardhi za kimila ,Kila mtu ana Haki na usawa Kwa vyote bila kujali Jinsia yake 👇👇
20241017_203240.jpg
 
Back
Top Bottom