Mwanamke anahitaji kuwa na chupi ngapi na zibadilishwe baada ya muda gani

Mwanamke anahitaji kuwa na chupi ngapi na zibadilishwe baada ya muda gani

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.

Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.

Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.

Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
 
hahahahahahah pichu haitakiwi kuvaliwa saana unless uwe nazo nyingi kwa ww mwenye 12 inabidi after 3 month uchange kama mswaki kwani zikitumika sana huleta harufu mbaya kwenye papuch
 
Pichu kuwa nazo nyingi upendavyo ukiwa na set zaid ya mbili( 24) siyo mbaya
Inakupa uhuru wa kuchagua ipi nivae leo ipi nisivae
Mambo ya kauka nikuvae yamepitwa na wakati
 
Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavailable pichu mpaka Mira wa kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.

Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.

Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.

Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
Hivi nini husababisha / kupelekea chupi za wadada kutoboka/kuchakaa haraka makao mkuu!!??
 
Back
Top Bottom