Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mnasugua sana hilo eneo!!?zinachakaa kwa sababu ya kusugua wakat wa kufua...
12 _4=8/3=2.67 kutokana na hizi namba unatakiwa uwe nazo 9 na kutwa unabadili 3times na kila baada ya 3 months unanunua zingine 9 na zile 9 unachoma moto.Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.
Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.
Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.
Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
Ngapi unazo?Sijui ka unaweza vaa mpaka ichakae bila kununua nyingine, sababu zinatoka za kila dizaini na unavutiwa kununua!!!
kuondoa uchafu ili zisifubae na kupoteza muonekano mzurKwanini mnasugua sana hilo eneo!!?
Nyingi mnoooNgapi unazo?
Kwa hiyo hata mkioga mnapasugua sana makao makuu!!?kuondoa uchafu ili zisifubae na kupoteza muonekano mzur
Mh!Nyingi mnooo
Mkuu bra labda zina liwe halijapiga goti. Mwenyewe utatafuta bra kila baada ya miezi sita au mwakaHivi vitu vinaendana na hobby ya MTU pia,kubadili pichu na bra ni hobby kama hobby nyingine,mwingine, mfano anaanza nayo tangu anasoma certificate mpka mastaz anadunda nayo tuu,na sio kwamba hana uwezo wa kubadili LA hasha,ni basi tuu....me naona nikujiwekea utaratibu tuu mwenyewe ubadili baada ya muda gani baasi.
sinaWewe unazochupi ngapi?
tupasugue sana kwa nini.... huko panaoshwa taratibuuu pasichubuke teh tehKwa hiyo hata mkioga mnapasugua sana makao makuu!!?
Hutaki au!!!
Oohh.. Basi hata pichu sugue taratibuuu hapo makao makuu baada ya kuloweka na sabuni ya unga, i think zitang'aa tutupasugue sana kwa nini.... huko panaoshwa taratibuuu pasichubuke teh teh
Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.
Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.
Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.
Pichu tubadilishe baada ya muda gani?