lup
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 2,514
- 2,741
Naona umekuja kwa kasi ya 4g 2018, siku nyigi hautujuliani hali...hope kila kitu kiko sawa!Salama jirani cha utundu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umekuja kwa kasi ya 4g 2018, siku nyigi hautujuliani hali...hope kila kitu kiko sawa!Salama jirani cha utundu
Jamani swahiba wacha uchokozi basi. [emoji85] [emoji85].Kumi na mbili zinafika? Rangi ipi ndo unazo nyingi sana?
Naona umekuja kwa kasi ya 4g 2018, siku nyigi hautujuliani hali...hope kila kitu kiko sawa!Salama jirani cha utundu
Ndio nataka kujua ananunuaga wapi na aina ganiMnunulie mkuu
Hivi vitu vinaendana na hobby ya MTU pia,kubadili pichu na bra ni hobby kama hobby nyingine,mwingine, mfano anaanza nayo tangu anasoma certificate mpka mastaz anadunda nayo tuu,na sio kwamba hana uwezo wa kubadili LA hasha,ni basi tuu....me naona nikujiwekea utaratibu tuu mwenyewe ubadili baada ya muda gani baasi.
[emoji1] [emoji1] Haya swahibaJamani swahiba wacha uchokozi basi. [emoji85] [emoji85].
Mie sijambo. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Naelewa mzee wa kazi ambavyo unataka kutimiza majukumu yako
Kuna ke ni nouma shogaangu acha tuu,siku akibadili Mvua inanyesha maana hata mbingu zinashtuka haziamini[emoji23][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Shoga hawa ni kiboko.
Duuh. Swahiba ujue kuna baadhi ya maswali saa nyingine hata kumnong'oneza mtu majibu yake pembeni hayafai kabisa Swahiba. [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji1] [emoji1] Haya swahiba
Si ungeninong'oneza pembeni tu swahiba[emoji1] [emoji1]
Hahahaaa. Kweli hapo lazima mbingu ishangae. Yaani hao hawana moyo wa kukinai nguo sababu kikawaida inafikia kipindi nguo inachosha na inahitajika kubadilishwa.Kuna ke ni nouma shogaangu acha tuu,siku akibadili Mvua inanyesha maana hata mbingu zinashtuka haziamini[emoji23]
Swahiba nilijua tu maswali yale ni ishu kwako kujibu nami nimekuuliza makusudi tu[emoji1] [emoji1]Duuh. Swahiba ujue kuna baadhi ya maswali saa nyingine hata kumnong'oneza mtu majibu yake pembeni hayafai kabisa Swahiba. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Tutumie na picha kabisa za pichu ili iwe rahisi kukupa ushauri ulio bora na wa kitaalamu zaidi....Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavaa pichu mpaka elastic ya kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.
Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.
Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.
Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
Hahahaaa. Usijali swahiba. Ila sio kwa kunidundisha moyo kiasi kile.Swahiba nilijua tu maswali yale ni ishu kwako kujibu nami nimekuuliza makusudi tu[emoji1] [emoji1]
Hahaha ngoja iingie vumbiWengine hatuvaagi tunapunga upepo tu tunanunua tukiwa na appointment
Huo sasa ni uchocheziUnanunuaga za sh ngap?!
LohhhhhTatu tu zinakutosha, mbili za kwendea kazini moja ya ibada jpili au shereheni, siku mojamoja unamwacha bibi apumue apigwe kipupwe...
Huo sasa ni uchochezi
Najua wanawake mnazo nyingi tena nyingine mnazivaa siku special tu.Hahahaaa. Usijali swahiba. Ila sio kwa kunidundisha moyo kiasi kile.
Vipi lakini swahiba uko poa?
MmmmhUnaogopa kununuliwa?!