mmh upooongoja waje wahusika
mmh ya kweli hayo kapeaceWengine hatuvaagi tunapunga upepo tu tunanunua tukiwa na appointment
Ngoja nimtag Aspirin ajue kuwa kila baada ya miezi mitatu kuna budget ya pichuhahahahahahah pichu haitakiwi kuvaliwa saana unless uwe nazo nyingi kwa ww mwenye 12 inabidi after 3 month uchange kama mswaki kwani zikitumika sana huleta harufu mbaya kwenye papuch
ndio mkuuummh upooo
[emoji23] [emoji23] [emoji85]mmh ya kweli hayo kapeace
Ukiona imechoka we achana nayoMummy zikianza kuchakaa tonne tu la mkojo harufu yake ni balaa hasa pale Dodoma
Hivi nini husababisha / kupelekea chupi za wadada kutoboka/kuchakaa haraka makao mkuu!!??Zile enzi za pichu za zaiboni sijui ni wangapi mnazikumbuka. Unavailable pichu mpaka Mira wa kiunoni unalegea unazitupa. Sasa hizi pichu za St Michael unavaa mpaka inachakaa pale makao makuu Dodoma lakini elastic ya kiunoni bado iko ngangari.
Sasa mfano nina pichu 12, nimetoa nne ni brown, nyeusi na dark blue hizi ni za zile siku za to the moon to pay monthly rent.
Hizi nane ndiyo kauka nikuvae lakini elastic zake zipo super. Nikivaa mpaka makao makuu pachakae mmh ndiyo mwanzo wa Aspirin kutafuta mchepuko huo.
Pichu tubadilishe baada ya muda gani?
zinachakaa kwa sababu ya kusugua wakat wa kufua...Hivi nini husababisha / kupelekea chupi za wadada kutoboka/kuchakaa haraka makao mkuu!!??