Pichu Kama shanga,ziko za Aina nyingi, Kwa matumizi tofauti hujafafanua. Ngoja nisaidie, Zile za kunivalia Mimi ili nihamie dodoma kufanya kazi Kwa ufanisi zinatakiwa Ziwe Aina mbalimbali Kwa idadi Kama 15 hivi (zenyewe tu zina Aina tofauti na bei yake sio nzuri, bikini, romantic night dress, flowering &Transparent na nyingine malizia mwenyewe) na hizi unadispose pale zinapoisha fashion yake hata Kama ni Mpya, hizi nazipenda Sana kwani sihitaji hata supu ya pweza unapozivaa, aina ya pili, za kuogelea tunapotoka out ziwe min 3 (tukienda sychells fifth honeymoon yetu usiniaibishe kuogelea na Dela), Aina ya Tatu, Za kila siku,casual, hizi zinatakiwa min Kuwa 10 hivi, Kama budget hairuhusu, na Hapa ndio mtiti upo, unatakiwa kuzidispose baada ya 3 months, maana elastic zake zinakuwa zimeshakufa na Kama kiasilia HQ yako ni always wet, zinakuwa zimeshamaliza matumizi Kama zinakuwa ni cotton 100%, hizi ndio wengine wanavaa mpaka elastic inakuwa Kama kamba ya kuanikia nguo,na rangi yake pale njia panda Kwa mkuu WA mkoa inakuwa brown, Aina to nne, za kupokelea mshahara Kila mwezi hizi MI Sina maelezo Nazo, Aina ya tano, za kutokea kwenye sherehe, Hii category sio lazima, vaa pichu inayofanana na expensive outfit yako. Hizi zinatakiwa kuwa Kama tano hivi.disposal yake nayo inatokana na fashion kuisha. Usishangae Sana, ndio maana Kuna mitumba, pichu sio lazima ichakae ndio udispose.
Najua, mtasema mbona me anajibu, Kula samaki vizuri na Kwa nafasi, kunahitaji kujua viungo na mapishi yake.