Mwanamke anahitaji vitu viwili tu. Mengine yote ni porojo

Watu wanatofautiana kuhusu madai yako sio kweli
Watu wana tofautiana vipaumbele hivyo madai yako sio sahihi
 
Hawa wa siku izi bwashee hawaangalij ela wanata tango vikaroti haviwatoshi hela wanakuambia hata wao wanajua kuzitafuta
 
A misery loves company. Wewe ulivyo bwabwa unataka kila mtu awe bwabwa. Acha kunililia sikukutuma uwe bwabwa
 
A misery loves company. Wewe ulivyo bwabwa unataka kila mtu awe bwabwa. Acha kunililia sikukutuma uwe bwabwa

WEWE BWABWA AU DANGAJI. HAKUNA MWANAUME ANGEANDIKA HII THREAD. TENA ANAJIITA MAMA SAMIA... HOVYO SANA. BWABWA WEWE.
 
WEWE BWABWA AU DANGAJI. HAKUNA MWANAUME ANGEANDIKA HII THREAD. TENA ANAJIITA MAMA SAMIA... HOVYO SANA. BWABWA WEWE.
Kama kuna hela unaingiza kwa kutukana unaweza endelea kutukana. Humu hatujuani kwahiyo usijali mkuu.
 
Si walikubaliana 50% 50% habari za kutaka Money na Inches zinatoka wapi?
 
Wakina Bill Gate wanavoachana na wake zao hivo vitu viwili wanakuwa hawana...

Itoshe kusema mapenzi hayana muongozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…