Mwanamke anahitajika kijini kwetu aolewe.

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Mdogo wangu anaumri wa miaka 30 anahitaji mwanamke wa kuoa.
Yeye yupo kijijini, hajasoma, mkulima, mfugaji na mfanya biashara.
Kabila lake ni msukuma.
Mahali itatolewa idadi ya ng`ombe 20 wa kutembea.

Basi mwenye nia na hii ofa achangamke.
kuhusu dini yeye hachagui.
Umri 28 - 35
Jina lake Anaitwa Mayunga Ngh`oboko

Kwa mawasiliano zaidi ni PM mimi.
 
mnh makubwa haya....po box ya jamii forum labda iundwe mnh
 
He he he, mwanamme wa kisukuma atafutiwe mke????
Labda karne hii

Hata mweupe na mwanya ng'ombe 20 tu?
 
He he he, mwanamme wa kisukuma atafutiwe mke????
Labda karne hii

Hata mweupe na mwanya ng'ombe 20 tu?
Akiwa mweupe na mwanya basi ng`ombe wataongezeka. Tunaweza tukatoa hata ng`ombe 50.
 
Ngoja nim-PM darling-tone aje amuone kama ana vigezo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…