Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Mwanamke akishapenda huwa anasahau kila kitu na anaenda kwa hisia pekee.
Yaani kuna mwanaharakati mmoja anaandika sana mitandaoni, lakini akija huku ni tofauti kabisa kwasababu amezama kwenye mapenzi.
Ni dhahiri kwamba mwanamke ni mwaminifu kwa hisia zake tu.
Yaani kuna mwanaharakati mmoja anaandika sana mitandaoni, lakini akija huku ni tofauti kabisa kwasababu amezama kwenye mapenzi.
Ni dhahiri kwamba mwanamke ni mwaminifu kwa hisia zake tu.