Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaujinga nwingi sana hawa watu.I see, utume pesa, tena na ya kutolea[emoji1787]. Halafu uulize pia kama ameipata? Wakati anajua ameipata. Huyu anataka kukugeuza manamba/mhudumu wake au la kuna kamzizi anataka kujua ikiwa kanafanya kazi.
Jibu zuri sana la upendo na uungwana
Hapa haujawa tofauti na NETANYAHU wa Israel kabisa daaah. Yaani hasara ina maana hata mtumiwaji ni hasara[emoji41][emoji41][emoji41].
Siku akirudia kukwambia huo upuuzi nitag. Real men ni wachache. Hongera
Dah! Kweli jeuri aiseee!!!Habari zenu bana.
Ameniomba pesa nimeenda kwa wakala kumtumia na nika hakikisha jina lake.
Yeye anasema mimi ni mjeuri na simpatilizi kwasababu eti hata sijampigia simu kumuuliza kama imefika!!!,.
Nimemjibu kama ifuatavyo.
Wewe, ukiomba ela nikikutumia ni jukumu lako kuangalia na kuniambia asante umeipata.
Ukikausha nami naendelea na mambo yangu kwasababu kiasi nilichokutumia nahesabu kama hasaratu, kwaiyo ukiipata usiipate I don't give damen!.
Nimemaliza.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ndio ivyo mkuu.Bangi za wapi hizi,achaneni kila mtu aendelee na laifu lake labda kama unalipia huduma hapo sawa.Mwanaume anakutumia hela huku yeye akihesabu hasara.
Kitaalamu huyo ke kaona asijetoa ahsante bila kutaarifiwa asijewachanganya.Ni hivi hapo mmeombwa wengi hivyo hajui aloituma ni nani.. Kwasababu umetuma ki wakala. Ungetuma wewe kwa namba yako angekuwa na uhakika ni wewe .
Mbona kama yaonekana unatoroka vikao , mbona hilo swala tulijadili sanaa broo
Kwenye kikokotoo cha UWABATA kinasoma tofali ngapi Intelligent businessman ?
tofali za block ni 30,:za choma ni 300Kwenye kikokotoo cha UWABATA kinasoma tofali ngapi Intelligent businessman ?
Mpaka hapo mwanetu kashahonga chumba na sebule master 😅tofali za block ni 30,:za choma ni 300
Aisee😂😂Mpaka hapo mwanetu kashahonga chumba na sebule master 😅
UhakikaAisee😂😂
Ungerudisha muamala,Kwenye kikao ulikuwepo kweliHabari zenu bana.
Ameniomba pesa nimeenda kwa wakala kumtumia na nika hakikisha jina lake.
Yeye anasema mimi ni mjeuri na simpatilizi kwasababu eti hata sijampigia simu kumuuliza kama imefika!!!,.
Nimemjibu kama ifuatavyo.
Wewe, ukiomba ela nikikutumia ni jukumu lako kuangalia na kuniambia asante umeipata.
Ukikausha nami naendelea na mambo yangu kwasababu kiasi nilichokutumia nahesabu kama hasaratu, kwaiyo ukiipata usiipate I don't give damen!.
Nimemaliza.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hata kama akiwa mke, huo uhalali wa kufanya mwanaume mtumwa wake unatoka wapi ikiwa wote ni watu wazima. Kwani lengo la kuwa na mke ni kumuhudimia kama mtoto mdogo.Kitu ninachojiuliza Hadi Leo, uhalali wa wanawake kujiona wanastahili kuhudumiwa na kupewa Hela ili Hali sio Mke wanautoa wapi?