Mwanamke ananisumbua moyo wangu:msaada


Hahhaha ingawa anakufilisi ila bado unampenda [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu karne hii bado unahangaika na mwanamke ambaye hakutaki. Hawa viumbe wameumbwa ki ajabu sana.
Wewe unajibana kumhudumia ili asipate tamaa, pesa unayompya anaenda kumpa mwanaume mwingine ili amkubali
Wewe unalipia chumb, fanicha na kilq kitu, mshenzi flani anakuja kuzitumia bila shida,
Unamnunulia chupi nzuri then mwanaume mwingine anamvua kirahisirahisi tu
Unambembeleza akupe kipochi cha manyoya and anadengua, ila kuna boya flani anapelekewa kwa kubembelezwa.
So usiwekeze kwa mwwnamke aisee, hata bibilia imesema usimpe mwanamke moyo wako wote asije akakutenda vibaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asa kwao wanajua anaishije wakati kapanga halaf ana kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alipigana na dadake basi akasusa na kuondoka kwao,first time alikaa kwa ndugu yao kidini,wakakofishana akaja kwangu usiku nikakaa nae wik 2,alikuwa anajificha sana yaani namletea chakula ndani anakojoa kwenye besen namwaga,jioni anatoka kwa siri anaenda kwenye dua,anarudi saa nne usiku,baada ya wiki 2 akasema nimpangie chumba,nikamnunulia vitu vya kuanzia maisha.akapanga.ndo hivyo

muosha rungu
 
Asa kwao wanajua anaishije wakati kapanga halaf ana kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alipigana na dadake basi akasusa na kuondoka kwao,first time alikaa kwa ndugu yao kidini,wakakofishana akaja kwangu usiku nikakaa nae wik 2,alikuwa anajificha sana yaani namletea chakula ndani anakojoa kwenye besen namwaga,jioni anatoka kwa siri anaenda kwenye dua,anarudi saa nne usiku,baada ya wiki 2 akasema nimpangie chumba,nikamnunulia vitu vya kuanzia maisha.akapanga.ndo hivyo

muosha rungu
 
Nipe mbinu za kumsahau na Ku move on

muosha rungu
 
Ukweli mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuosha Rungu na sabuni mkuu !!


Ivi unadhan mwanamke uwe unamlipia kodi wewe tu, unahisi atakua na mwanaume mmoja ilihali anamahitaji kibao zaidi ya kodi?? .



Embu tuanzie hapa...pamoja nakumlipia, Uliwah kulala kwake na kuamkia kwake ??
 
Endelea kuosha Rungu na sabuni mkuu !!


Ivi unadhan mwanamke uwe unamlipia kodi wewe tu, unahisi atakua na mwanaume mmoja ilihali anamahitaji kibao zaidi ya kodi?? .



Embu tuanzie hapa...pamoja nakumlipia, Uliwah kulala kwake na kuamkia kwake ??
Ni mtu wa swala tano wale wafia dini.
Hata kwake naishiaga nje kwa kupewa stuli ya kukalia

muosha rungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…