Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 1,912
- 2,254
Nilimbikiri 2006 tukiwa sekondari muda wote huo tumekuwa na mipango ya kuoana...Maana ujue mpaka unampata wewe kuna mjingamjinga flani naye aliachwa, na kama yeye aliachwa basi ulitakiwa kujua ipo siku na wewe utaachwa. So ulitakiwa kujiandaa kisaikolojia from day one
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mwanamke ni mwanamke ,hata awe swala saba atabak kua ivo.Ni mtu wa swala tano wale wafia dini.
Hata kwake naishiaga nje kwa kupewa stuli ya kukalia
muosha rungu
Hilo labda alikuwa analifanya mbali yeye anaogopa kuambiwa anaziniHapana mwanamke ni mwanamke ,hata awe swala saba atabak kua ivo.
Iko ni kithibitisho tosha kua Hauko pekeako toka zamani .
Na demu alikua anaogopa kujichoresha kwa majiran kua anaingiza sana mabwana.
Amin nakuambia, ukifatilia sana utajua ukweli .
Sawa sawa nyumba na mazingira ya nyumba yanayomzunguka ,unahisi yanatosha kukuthibitishia kua Mbali na kukuheshim bado macho ya watu nimakali kwake??Hilo labda alikuwa analifanya mbali yeye anaogopa kuambiwa anazini
muosha rungu
Labda amekasirika nilivyogoma kulipa kodi hatua za mwisho baada ya kuona hataki nishike simu yake au ikiita anaongelea mbaliSawa sawa nyumba na mazingira ya nyumba yanayomzunguka ,unahisi yanatosha kukuthibitishia kua Mbali na kukuheshim bado macho ya watu nimakali kwake??
Cheki ikiwa uyo demu ulikua unamgonga kwako na kwingineko basi ujue hana ugumu wowote wa mpaka ashindwe kukuingiza ndani mwake unless mazingira ya nyumba nzima yawe ni swala tano sana.
Aibu na mizenguo ya wanawake huwa ni ktk suala la chupi lkn ukishaitoa hiyo aibu basi hapana aibu ingine tena.
Ila inawezekana ikawa ni mapozi, lkn sasa ndo akununie?? Asijib wala kupokea meseji zako??na kwahuo muda ?? Je ndo mapenzi ya kweli hayo??
Aahhh sasa jibu unalo.... Namm nakazia ukiona demu wako simu yake anaifanya kituo chapolisi kwako au calls kupokea ni mbali mpaka atoke nje .Labda amekasirika nilivyogoma kulipa kodi hatua za mwisho baada ya kuona hataki nishike simu yake au ikiita anaongelea mbali
muosha rungu
Thanks bro hakika umenijenga ngoja nikae kimya nafsi Yangu iwe huruAahhh sasa jibu unalo.... Namm nakazia ukiona demu wako simu yake anaifanya kituo chapolisi kwako au calls kupokea ni mbali mpaka atoke nje .
Naishia hapa.... Na kalipa mwenyewe au kwa msaada wa jamaa ili kukuonyesha we kua bado anaweza nje yako.
BADILIKO LOLOTE LISOKUA LA KAWAIDA KWA MWANAMKE WAKO LINA SABABU !!!.
SOMA NYAKATI MKUU..hawa madem saaingine hupasw kua mpole na kufuata anachosema , siunaona sasa katengeneza mazingira magumu kabisaaa yawee kuingia ndan mwake hata kama utamuweka sawa.
Yes utaendelea kujitumisha mimeseji na micalls mpaka lini Man???Thanks bro hakika umenijenga ngoja nikae kimya nafsi Yangu iwe huru
muosha rungu
Yeye aendelee kuosha runguNenda pale na uso wa mbuzi halaf muulize kwa nia njema kama haoneshi ushirikiano jua hakuihitaji ,muulize nani kamlipia kodi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wewe majanga, yajayo yanafurahishaAlipigana na dadake basi akasusa na kuondoka kwao,first time alikaa kwa ndugu yao kidini,wakakofishana akaja kwangu usiku nikakaa nae wik 2,alikuwa anajificha sana yaani namletea chakula ndani anakojoa kwenye besen namwaga,jioni anatoka kwa siri anaenda kwenye dua,anarudi saa nne usiku,baada ya wiki 2 akasema nimpangie chumba,nikamnunulia vitu vya kuanzia maisha.akapanga.ndo hivyo
muosha rungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe nae huna akili kabisa.
Kwani ni lazima umlipie wewe hiyo kodi ?
Mpenzi wangu Shunie upo..!Ukisusa wenzio wala umesusa kulipa kodi katokea sponsor kamlipia ya mwaka mzima
Ukisusa sie twala!!Kuna mpenz wangu mmoja nimekuwa na uhusiano nae kwa muda mrefu kidogo
Kwa ufupi ni mzuri naweza sema mno
Ana umbile lile pendwa na rangi flani hivi ya kinyaturu
Juz kati tulikosana kidogo na ilikuwa muda wa kulipa Kodi(huwa namlipia mm) sasa
Nikasusa kulipa
Baada ya wiki nampigia simu mama Mwenye nyumba jibu nililopewa ameshalipa kodi
Swali linalonipa shida kodi atakuwa ameipata wapi maana siku zote mm ndo nimekuwa nikimgharamikia gharama zote hata vitu vya ndani na chumba mm ndo nilimlipia Mara ya kwanza baada ya kutoka kwao.
Sasa hivi nikimpigia au kutuma SMS hajibu
Roho inaniuma maana nimetumia hela nyingi sana na kwa uzuri wake naweza kumkosa ingawa ananifilisi ila nampenda
muosha rungu
Nenda katubu mkuu. Wanapenda kunyenyekewa. Huduma zote utapewa kama mwanzo.muosha rungu