clemencemlai
Member
- May 3, 2010
- 24
- 2
Kuna mwanamke nimemuowa ananiumiza kichwa sana , eti anataka kwa kila jambo afanyalo kwangu antaka apewe pesa
hiyo achilia mbalin malupu lupu mengi ne mbali na mshahara wa mwezi. nimejitahidi sana lakini nimeshindwa kwani kama hivyo ndivyo basi kima cha chini cha ni sh ngapi? sipati mechi kabla yakulipa au niahidi lini nitalipa.au nitakaa hivyo hivyo mpaka nipate pesa
Kuna mwanamke nimemuowa ananiumiza kichwa sana , eti anataka kwa kila jambo afanyalo kwangu antaka apewe pesa
hiyo achilia mbalin malupu lupu mengi ne mbali na mshahara wa mwezi. nimejitahidi sana lakini nimeshindwa kwani kama hivyo ndivyo basi kima cha chini cha ni sh ngapi? sipati mechi kabla yakulipa au niahidi lini nitalipa.au nitakaa hivyo hivyo mpaka nipate pesa
Sidhani kama walizingatia habari za kuchunguzana..utakuta mtoto kajazia ndicho alichoridhika nacho.Kabla ya kuona mekaa mda gani kwenye mahusiano ie mlichunguzana vya kutosha
Hapo sasa,nadhani ndoa yao haikuwa na maadili ya dini...au mkewe hana dini so hajui umuhimu wa tendo kwenye ndoa.Utalipaje tendo la ndoa kama ni mkeo halali?
Mlikutana wapi (Bar/Club/Kwenye danguro)........
Wabongo kwa kutunga tunaongoza
mkuu upo sahihi, hii inaendana na ule msemo "better keep quite than speaking and remove all doubts" kama sijakoseahata km mnatunga stori angalia bc stori inayoendana na ukweli..
hao wenyewe huwa wanaongea wakiwa uchi, nakama hutaki hutapata ukweli wajambo hilo na maguo yako. kwanza vua na utaona ukweliHata km mnatunga stori angalia bc stori inayoendana na ukweli..
wewe watu wanateswa kwa namna mbali mbali ,nahujikaza kisabuni midume mingi,wengine hutafuta mahali pa kukaa muda uende . nahilo limetungwa nanani? mwanaume mwenzenu anateswa .msimdhihakiWabongo kwa kutunga tunaongoza