Mwanamke anategemea kupata 'hiki' kwenye uhusiano!

Mwanamke anategemea kupata 'hiki' kwenye uhusiano!

Purple

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2012
Posts
2,027
Reaction score
935
Ili uhusiano wowote uwe endelevu kila mmoja anapaswa kuelewa na kutimiza mahitaji ya mwenzake. Mahitaji haya hutofautiana kati ya m/mke na m/mme but a woman's primary need is emotional.
Mwanamke aingiapo kwnye uhusiano hutegemea kupata;
1) Rafiki wa kweli atakayeweza kumshirikisha kwny mambo yake,kutaniana nae,kucheka nae na atakayempenda na kumuheshimu..
2) Mwenzi atakayevutiwa na jinsi alivyo kwa kila kitu
3) Mwenza wa kusota nae maisha yake yote yaan wacheke na kushangilia pamoja wakati wa raha na kusaidiana wakati wa shida.
4) Hutegemea mwenza wake aweze kusimama vizuri kwenye nafasi yake na mwenye msimamo katika majukumu yake
5) Mwanamke hutegemea mwenza wake atakua tayari kumckiliza kwa makini pindi akuelezapo jambo
NOTE:Mwanamke akikueleza tatizo lake sio lazma anataka ulitatue!sometimes women seek 4 sympathy &undestanding..
Kama ni m/ume hebu jiulize hua unampatia mwenza wako alichokitegemea kabla ya kua na wewe?
Kama ni m/mke kama hujapata ulichokitegemea umechukua hatua gani?
 
Kweli kabisa mama isaac, tena hapo kwenye note ndio panawashinda hawa watu.
 
Ili uhusiano wowote uwe endelevu kila mmoja anapaswa kuelewa na kutimiza mahitaji ya mwenzake. Mahitaji haya hutofautiana kati ya m/mke na m/mme but a woman's primary need is emotional.
Mwanamke aingiapo kwnye uhusiano hutegemea kupata;
1) Rafiki wa kweli atakayeweza kumshirikisha kwny mambo yake,kutaniana nae,kucheka nae na atakayempenda na kumuheshimu..
2) Mwenzi atakayevutiwa na jinsi alivyo kwa kila kitu
3) Mwenza wa kusota nae maisha yake yote yaan wacheke na kushangilia pamoja wakati wa raha na kusaidiana wakati wa shida.
4) Hutegemea mwenza wake aweze kusimama vizuri kwenye nafasi yake na mwenye msimamo katika majukumu yake
5) Mwanamke hutegemea mwenza wake atakua tayari kumckiliza kwa makini pindi akuelezapo jambo
NOTE:Mwanamke akikueleza tatizo lake sio lazma anataka ulitatue!sometimes women seek 4 sympathy &undestanding..
Kama ni m/ume hebu jiulize hua unampatia mwenza wako alichokitegemea kabla ya kua na wewe?
Kama ni m/mke kama hujapata ulichokitegemea umechukua hatua gani?

mmmmh kazi tunayo sie wakina KAUKENEGE mbona shughuli ipooo, kama ISIDINGO kudadadeki!!!!!
 
Ili uhusiano wowote uwe endelevu kila mmoja anapaswa kuelewa na kutimiza mahitaji ya mwenzake. Mahitaji haya hutofautiana kati ya m/mke na m/mme but a woman's primary need is emotional.
Mwanamke aingiapo kwnye uhusiano hutegemea kupata;
1) Rafiki wa kweli atakayeweza kumshirikisha kwny mambo yake,kutaniana nae,kucheka nae na atakayempenda na kumuheshimu..
2) Mwenzi atakayevutiwa na jinsi alivyo kwa kila kitu
3) Mwenza wa kusota nae maisha yake yote yaan wacheke na kushangilia pamoja wakati wa raha na kusaidiana wakati wa shida.
4) Hutegemea mwenza wake aweze kusimama vizuri kwenye nafasi yake na mwenye msimamo katika majukumu yake
5) Mwanamke hutegemea mwenza wake atakua tayari kumckiliza kwa makini pindi akuelezapo jambo
NOTE:Mwanamke akikueleza tatizo lake sio lazma anataka ulitatue!sometimes women seek 4 sympathy &undestanding..
Kama ni m/ume hebu jiulize hua unampatia mwenza wako alichokitegemea kabla ya kua na wewe?
Kama ni m/mke kama hujapata ulichokitegemea umechukua hatua gani?


na mkishapata Mwanaume mwenye sifa hizo mbona hamtulii?
kuna wanawake ana wanaume hata watano na wote ni very understanding...
but akija wa sita pia 'anakula kichwa'......hamtosheki siku hizi...
hata tuwe vipi.......
 
na mkishapata mwanaume mwenye sifa hizo mbona hamtulii?
Kuna wanawake ana wanaume hata watano na wote ni very understanding...
But akija wa sita pia 'anakula kichwa'......hamtosheki siku hizi...
Hata tuwe vipi.......

jamani, yamekuwa hayo tena!
 
Ili uhusiano wowote uwe endelevu kila mmoja anapaswa kuelewa na kutimiza mahitaji ya mwenzake. Mahitaji haya hutofautiana kati ya m/mke na m/mme but a woman's primary need is emotional.
Mwanamke aingiapo kwnye uhusiano hutegemea kupata;
1) Rafiki wa kweli atakayeweza kumshirikisha kwny mambo yake,kutaniana nae,kucheka nae na atakayempenda na kumuheshimu..
2) Mwenzi atakayevutiwa na jinsi alivyo kwa kila kitu
3) Mwenza wa kusota nae maisha yake yote yaan wacheke na kushangilia pamoja wakati wa raha na kusaidiana wakati wa shida.
4) Hutegemea mwenza wake aweze kusimama vizuri kwenye nafasi yake na mwenye msimamo katika majukumu yake
5) Mwanamke hutegemea mwenza wake atakua tayari kumckiliza kwa makini pindi akuelezapo jambo
NOTE:Mwanamke akikueleza tatizo lake sio lazma anataka ulitatue!sometimes women seek 4 sympathy &undestanding..
Kama ni m/ume hebu jiulize hua unampatia mwenza wako alichokitegemea kabla ya kua na wewe?
Kama ni m/mke kama hujapata ulichokitegemea umechukua hatua gani?

#5 mwanaume asiitumie kwa kila mwanamke ni yule tu wa ukweli otherwise ataumia
 
na mkishapata Mwanaume mwenye sifa hizo mbona hamtulii?
kuna wanawake ana wanaume hata watano na wote ni very understanding...
but akija wa sita pia 'anakula kichwa'......hamtosheki siku hizi...
hata tuwe vipi.......

mmh jaman hakuna binadamu asiyetosheka ukiona hivyo ujue kuna tatizo somewhere!
 
ukipenda soul utamfurahia mwanamke mpaka basi maana kila atachofanya utakiona tofauti na mwingine hawezi ila ukipenda umbile mbona wako wengi
 
Ni kujifunza kuishi uhalisia ndo itakusaidia kwenye mahusiano
Wakati mwingine wanawake hawatambui uhalisia
Hasa aina ya mwenza aliyenaye
Umechagua waru waru, afu unataka akusikilize, itawezekana kweli.

Mi huwa nahisi baadhi ya wanawake hawajui walitakalo.
 
Labda anayefanya biashara ndo hufanya hivi.
Kuna wanawake wameolewa lakini katika damu zao kuna ufanya bishara wa hii kitu

Jasiri haachi asili.
na mkishapata Mwanaume mwenye sifa hizo mbona hamtulii?
kuna wanawake ana wanaume hata watano na wote ni very understanding...
but akija wa sita pia 'anakula kichwa'......hamtosheki siku hizi...
hata tuwe vipi.......
 
ukipenda soul utamfurahia mwanamke mpaka basi maana kila atachofanya utakiona tofauti na mwingine hawezi ila ukipenda umbile mbona wako wengi

kweli kabisa zizu
 
Labda anayefanya biashara ndo hufanya hivi.
Kuna wanawake wameolewa lakini katika damu zao kuna ufanya bishara wa hii kitu

Jasiri haachi asili.


kongosho na wengine niwaeleweshe hiyo
methali inakosewa mno kutamkwa na kuandikwa
usahihi ni 'mjaa asili haachi asili'
sio mjasiri.....
 
Ni kujifunza kuishi uhalisia ndo itakusaidia kwenye mahusiano
Wakati mwingine wanawake hawatambui uhalisia
Hasa aina ya mwenza aliyenaye
Umechagua waru waru, afu unataka akusikilize, itawezekana kweli.

Mi huwa nahisi baadhi ya wanawake hawajui walitakalo.

very true! Mistake kubwa hua inatokea kwenye kuchagua nani ili akupe nini but kuna wengine mwanzoni huenda vizuri kabisa thena baadae kha! Unajuta kumfahamu..
 
Back
Top Bottom