Mwanamke anategemea kupata 'hiki' kwenye uhusiano!

Duh' umegonga ikulu! kwani wana balaa kwa kupenda kuweka mtungo!
na mkishapata Mwanaume mwenye sifa hizo mbona hamtulii?
kuna wanawake ana wanaume hata watano na wote ni very understanding...
but akija wa sita pia 'anakula kichwa'......hamtosheki siku hizi...
hata tuwe vipi.......
 
Kama unajua kile unachotakiwa kutoa na unakitoa, rest assured mambo yako yataenda vizuri. Hata ukipata pompo asiyejua kutoa, hutaumia. You will take back what is yours hapily!

"hata ukipata pompo asiyejua kutoa hutaumia" sio rahic as how you think
 
sio kweli,wengine 2nafahamu what we need and what to offer,may be hujabahatika kupata anaejua kucmama kwnye nafasi yake vyema

Mama Isaac, hata mimi sijasema wote, nimesema 'wengi wenu', so yawezekana wewe ukawa mmoja kati ya hao wachache.
Kama kupata mwanamke anayejua kusimama kwenye nafasi yake yake kunaenda kwa kubahatisha, basi wanaume shughuli tunayo. Sijui tutapiga chini wangapi ndo tufikie kubahatisha huyo anayejua?!
 
very true! Mistake kubwa hua inatokea kwenye kuchagua nani ili akupe nini but kuna wengine mwanzoni huenda vizuri kabisa thena baadae kha! Unajuta kumfahamu..

wanawake wa siku hizi wengi wao wana stress na maisha, hasa tamaa ndo inawasumbua, akijitokeza kabwela akakopa kimkokoteni akamtoa out basi anamkubali 100%. Ila jitokeze mzimamzima useme huna kitu mnaenda kuanza maisha ya kutafuta,jibu utakalopewa utajiinamia chini. Inshort, siku hizi wanawake wengi wametawaliwa na tamaa ndo maana mapenzi ya dhati hakuna.
Kudadadeki(lusinde)
 
Well... Kama kawa, mwanamke anachotaka... Selfish deed.

Ba majukumu yake je?
 

tamaa co kwa wanawake tu! Hata wanaume vilevile..ila tofauti ni kwamba wanawake hutamani vitu then wanaume hutamani wa2, akiona mweupe anataka,mweusi anataka,intermediate nae anataka loh!
 
Well... Kama kawa, mwanamke anachotaka... Selfish deed.

Ba majukumu yake je?

muwamba ngoma huvutia kwake! Majukumu yake inabidi ujitolee kuanzisha uzi mwingine
 

am afraid there is no formula 2 that,kikubwa ni kua makini kwenye kuchagua..
 
Mama Issac asante kwa mail nzuri!na pia wanawake wanahitaji sana kukumbatiwa,kubusiwa na kushikwa shikwa na waume zao,sio kusubiri tu wakati wa sex.
 

Kwa yule ambae alishatendwa ata-appreciate sana ukimtendea hivi vyote, lakini kwa aliye fresh -yaani hajawahi kutendwa mara nyingi atakuona kama Bhushoke tu vile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…