Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa kama mada ilivyojieleza mkuu.Dadafua vizuri mkuu!!!!
Tatu bila veepe yan?
G spot ni fix wala sio kitu ambacho kinajulikana na kuweza kuelezeka kilipo ndani ya uke wa mwanamkeMkuu g spot ni kijisehemu flani ndani kidogo ya uke(kama umbali wa nusu kidole hivi) kwenye ukuta wa juu wa uke. Ina surface flani rough, tofauti kidogo na sehemu nyingine za huo ukuta wa juu wa uke. Iko very sensitive. Unaweza kugoogle kwa maelezo zaidi
Fanya research yako vizuri mkuuG spot ni fix wala sio kitu ambacho kinajulikana na kuweza kuelezeka kilipo ndani ya uke wa mwanamke
Research zilikwisha fanyika sana na taarifa zake zimejaa tele. Labda unieleze research paper uliyoisoma wewe MkuuFanya research yako vizuri mkuu
Mkuu nlichokisema kuhusu g spot nakijua, na nna uhakika nacho. Ila hatuna sababu ya kubishana mkuu, sio lazima uamini nlichoandika. Nadhani kila mmoja abaki tu na anachokiaminiResearch zilikwisha fanyika sana na taarifa zake zimejaa tele. Labda unieleze research paper uliyoisoma wewe Mkuu
Sawa Mkuu. Nilidhani ni issue ya ujuzi kumbe imani Tu. Zawa endelea na imani yako MkuuMkuu nlichokisema kuhusu g spot nakijua, na nna uhakika nacho. Ila hatuna sababu ya kubishana mkuu, sio lazima uamini nlichoandika. Nadhani kila mmoja abaki tu na anachokiamini
Huwezi kuamini usichokijua mkuuSawa Mkuu. Nilidhani ni issue ya ujuzi kumbe imani Tu. Zawa endelea na imani yako Mkuu
Hiyo safi sana.Je atakubali utumie kidole? Kuna hii tabia ya watoto wa kike kukataa mwanaume asitumie kidole kwa kumchezea uko chini.
Hili ni tatizo kubwa sana,mwanamke anagoma kabisa usimguse na kidole yeye anataka dushe tu.
Wenyewe si waje waeleze hapa! Naona wanapita hivi tu wakati tuna mamiss kibao humu ndani!Mwenye elimu ya G-Spot atujuze jamani,maana hii forum ni zaidi ya Chuo kikuu
Huyu daktari mbinafsi sanaInaandikwa g spot, kipindi cha vita ya pili ya dunia (siko sure hapa) Daktari wa wanawake anaitwa Grafenberg alisema amegundua kitu kwenye qumer ambacho alikua akikishika kinampatia mwanamke raha. Akakipa jina G spot, yaani Grafenberg spot.
Bila kidole asahau multiple orgasm! na huenda hata hiyo moja asiipate!Je atakubali utumie kidole? Kuna hii tabia ya watoto wa kike kukataa mwanaume asitumie kidole kwa kumchezea uko chini.
Hili ni tatizo kubwa sana,mwanamke anagoma kabisa usimguse na kidole yeye anataka dushe tu.