Mwanamke anayechepuka ni hatari sana

Ukweli mchungu😕
 
Kwanza kwa taarifa yako Kuna wanaume wengine wakiwa kwenye mahusiano hawataki kugandwa kama ruba!

Wanapenda kukutana once for a while na once they meet they used to make it memorable always!

Hawataki kuwa watumwa wa mapenzi.

Hawataki kutawaliwa na mapenzi badala yake wanapenda wao ndio wayatawale mapenzi.

Kwa hiyo Mwanaume wa hivyo akimpenda mke wa mtu anakuwa na maana yake ya kiasi na siyo mapenzi ya ruba.

Na Pia kuwa na uhusiano na mke wa mtu kunampa ahueni katika mahitaji ya pesa n.k

Kwa kuzingatia hayo n.k.

Mwanamke hawezi fikiri kumuua mume wake wa ndoa labda ziwepo Sababu nyingine.
 
Tena wa taarifa yako mke akichepuka na mhuni usipime,

Kuna mbinu wanapeana!

Tena ni mbinu za kuimarisha uhusiano na mumewe wa ndoa, jamaa anampa.[emoji108]

Ni kweli wanawake ukiondoa wakudanga baadhi hupenda kwa hisia Tena wachache bila kutegemea kuvuna hela au any materials things lakini mwanamke akiangukia kwa mchepuko mwerevu huwa anam-lead well kwenye mambo mengi including yahusuyo familia ya huyo mke alochepuka kuhakikisha mambo yanaendelea kuwa Sawa.
 
Uko sahihi,hata mimi sitaki mwanamke wa kuniganda muda wote.Lkn Nikwambie tu ndugu yangu hicho kilichopo kwenye uzi ni kweli tupu,nimeona mwenyewe,mara nyingi Wanaume hao wanakuwa wanataka mali ambazo familia husika wanazo,kwa hiyo Cha kwanza kabisa huwa ni kumpa Mapenzi moto moto hadi mwanamke achanganyikiwe,akishafanikiwa kuiteka akili ya huyo mwanamke kifuatacho ITV ni kumtengenezea mazingira ya kuanza kimchukia mume wake, mume akishagundua mambo hayako sawa Si ataanza chokochoko,hapo sasa reaction itakuwa ipo poa,ndipo sasa lijamaa litamuambia mwanamke si unaona jinsi mume wako alivyo kikwazo kwenye penzi letu!!, Kwanini tusimuondoe tu ili tuweze ku enjoy Zaidi??, Kwasababu mwanamke ameshakabidhi Moyo wake kwa huyu kidume mwingine Nakwambia hivi hawezi kukataa.


Mimi mwenyewe niliwahi kutoka na mke wa mtu,nikampa shoo ya maana, manzi akafurahi sana,akaanza kunieleza siri zote za yeye na mume wake na jinsi wanavyogombana;Ikafika wakati akaniambia Anataka kudai taraka ili awe huru na Mimi,lkn Mimi nikamkatalia nikasema sio vizuri kutengana na mumewe kisa Mimi,Mimi ni mtu wa kupita tu.

Sasa hebu fikiria,Mimi sijamwambia afanye hivyo lkn yeye anafanya akidhani kuwa Mimi Nitafurahi.Je,ningemwambia amuondoe unadhani angekataa??.Ninaomba MUNGU anisamehe uovu wangu wa kutembea na mke wa mtu,sasa hivi nimeacha.
 
Binafs nilitembe na mke wa mtu sas yapta week imepita ila nimemtema kwa upumbafu wake wakutaka kuachana na mume anaye mtunza ili tuishi nae nilimuona mpuumbafu wa kiwango Cha sgr ...ansema Siri zote za famili yake alfu jamaa fresh kbsa Ni anapambna kuhakikisha mke anapata mahitaji yote kumbe Ni anale mke mpumbafu
 
Umeona eenhh?!!!, Mwanamke aliyeolewa akipigwa pumbu vizuri,Cha Kwanza anachofikiria ni namna ya kuachana na mume wake.
 
Sure
 
Mkuu achana nae kabisa, utakuja kujuta, mke wa mtu ni hatari
 
Hivi kwanini wanaume tunaogopa sana kugongewa? Uzi wote huu ni uoga wa mwanaume kuchapiwa
Inabidi wataalamu wa saikolojia ...waingilie hili swala waanze kutu train wanaume tuone ni kawaida mwanamke kuliwa nje... Huu uoga wa kuhofia kuchapiwa ..unapelekea wengi kupunguza focus ya vitu vya msingi ,wanaishia kuendekeza matwaka ya wanawake wakijua wakifanya kila anachotaka mwanamke ndo suluhisho lakini bado wanachapiwa kama kawa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wanasaikolojia wenyewe wanagwaya ktk suala hili.Hebu jaribu kumrubuni mke wa Mwanasaikolojia uone km hajachanganyikiwa.
 
Hii ndio point kuu. Wananwake wanatamani sana kubadili mbooo....na wanapenda kushare vizuri tuu. Sema ujinga wetu wanaume mambo ya kudhani kuwa wanawake hawana matamanio ya ngono kama sie wanaume.
Hadi wewe Demi ume-like hii tena kwa kushow “love” .. 😁

Haya tupe siri ya kilicho mtungini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…