Mwanamke anayechepuka ni hatari sana

Hii ndio point kuu. Wananwake wanatamani sana kubadili mbooo....na wanapenda kushare vizuri tuu. Sema ujinga wetu wanaume mambo ya kudhani kuwa wanawake hawana matamanio ya ngono kama sie wanaume.
Upo sahihi mzabzab
 
Bora uwaambie ukweli maana kila siku wanajazana uongo utafikiri waliwahi kuwa wanawake.
 
Reactions: Tsh
Hii kitu ni very complicated....
mwanaume anachepuka na mwanamke, ila mwanamke kuchepuka ni hatari [emoji849]

Anewei siwezi kuongea chochote bila mwanasheria wangu BADILI TABIA
Achana nao aisee

Msimamo uko pale pale

Kila mtu atumie sehemu zake za siri kwa starehe zake.

Hizi mambo za kufanya wanawake hawana genye ila wenye genye mdadiso ni wanaume hazina tija.
 
Uko sahihi halafu kiuchumi ndo uwe umekalia dole utaisoma
 
Nachojua Mwanamke anaweza akawa anagongwa na wajuba kama wote bila kuwapenda wala nini!,

Labda ulikuwa unamaanisha Wanawake wa RΓΊssia mkuu?
Jua kutofautisha kati ya Mwanamke na Mwanamke kahaba.Kwa mwanamke kahaba hapo sawa.
 
Achana nao aisee

Msimamo uko pale pale

Kila mtu atumie sehemu zake za siri kwa starehe zake.

Hizi mambo za kufanya wanawake hawana genye ila wenye genye mdadiso ni wanaume hazina tija.
ili ilete maana kwamba mwanamke kuchepuka haifai, inabidi wanaume wachepuke na wanaume wenzao....sasa waamue mwanamke inafaa au haifai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…