SAWEBOY
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 241
- 174
Natafuta mwanamke mtu mzima anayejielewa na ambaye anahitaji kuwa na mwanaume wa kutulia nae kimahusiano.
Nahitaji wazee wenzangu umri kuanzia miaka 30 au zaidi na mwisho ni miaka 45.
Ukiwa na mtoto / watoto sio tatizo kikubwa tuwe na mahusiano yaliyo bora na kushirikiana kimaisha.
Mengine tunaweza jadiliana pm.
Tukielewana tunaweza kufunga ndoa na kuishi pamoja ili tufurahie maisha pamoja na mengineyo.
Mimi ni mwanaume nipo late 30's. Matured na ninamaisha yangu.
Mwanamke mwenye uhitaji Pm yangu ipo wazi karibu sana.
Nahitaji wazee wenzangu umri kuanzia miaka 30 au zaidi na mwisho ni miaka 45.
Ukiwa na mtoto / watoto sio tatizo kikubwa tuwe na mahusiano yaliyo bora na kushirikiana kimaisha.
Mengine tunaweza jadiliana pm.
Tukielewana tunaweza kufunga ndoa na kuishi pamoja ili tufurahie maisha pamoja na mengineyo.
Mimi ni mwanaume nipo late 30's. Matured na ninamaisha yangu.
Mwanamke mwenye uhitaji Pm yangu ipo wazi karibu sana.