DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
That aint a fact at all butCall yourself whatever you like but it won't change the fact that you are old
Sent using Jamii Forums mobile app
rather it's an opinion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That aint a fact at all butCall yourself whatever you like but it won't change the fact that you are old
Sent using Jamii Forums mobile app
GoodestGood gooder
Sure
[emoji16][emoji16][emoji16] U zero wangu upo wapi, kwenye uchakataji wa papuchi au
Nina 17 yearsWewe sio mzee mwenzangu kweli? Kama ni mwenzangu kuanzia 30 years karibu tuyajenge rafiki.
Mwanaume huwa hazeeki....[emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Kama hujapata na upo dsm nitafute tuone kama itawezekanaNatafuta mwanamke mtu mzima anayejielewa na ambaye anahitaji kuwa na mwanaume wa kutulia nae kimahusiano.
Nahitaji wazee wenzangu umri kuanzia miaka 30 au zaidi na mwisho ni miaka 45.
Ukiwa na mtoto / watoto sio tatizo kikubwa tuwe na mahusiano yaliyo bora na kushirikiana kimaisha.
Mengine tunaweza jadiliana pm.
Tukielewana tunaweza kufunga ndoa na kuishi pamoja ili tufurahie maisha pamoja na mengineyo.
Mimi ni mwanaume nipo late 30's. Matured na ninamaisha yangu.
Mwanamke mwenye uhitaji Pm yangu ipo wazi karibu sana.
SawaMwanaume huwa hazeeki....[emoji2099][emoji2099][emoji2099]