Mwanamke anayejitambua aje PM

Iv humu unaweza kupata mwanamke wa ndoa!!! 43 unatafta mwanamke humu kabisa? Mkuu hapo jirani hakuna baa?
 
Iv humu unaweza kupata mwanamke wa ndoa!!! 43 unatafta mwanamke humu kabisa? Mkuu hapo jirani hakuna baa?
Kwa nini mnakatisha watu tamaa? Kwani walio huko mitaani hawatumii mitandao? Au wewe unaishi wapi mwenzetu kama sio mtaani? 43 ni mtu mzima na anajua nini anafanya, atleast mtakie kila la heri tu inatosha kha!
 
Dadavua zaidi mkuu
Nilitumia jf kama mgeni kwa muda mrefu, nilikuwa naziona post za namna hii nikajua kuna mafanikio humu, baadae nikajiunga My first post baada ya kujiungilikuwa kama hii, nilichati nao sana ila hakupatikana mkweli wala aliye silias, wote wazugaji tu, wengine wapiga dili! hapa hapatoshi kueleza yote kama vipi weka namba yako ya airtel nikupe full stori
 
Kwa nini mnakatisha watu tamaa? Kwani walio huko mitaani hawatumii mitandao? Au wewe unaishi wapi mwenzetu kama sio mtaani? 43 ni mtu mzima na anajua nini anafanya, atleast mtakie kila la heri tu inatosha kha!
hata kama ukweli unauma ila ni zaidi ya dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…