Boss Wangu Katika Ubora wake. Nakuombea Upate Hitaji La moyo Wako[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]shepu hata ya mchina?
Nipo hapa nipmWajane,single mothers na warembo wengine kazi kwenu
Dadavua zaidi mkuumimi ni mhanga, naogea kwa vigezo, nilitumia mda mrefu sana ktk hilo sikufanikiwa, japo pm ilijaa vibaya!!
wanakuja na style za kitapeli
Sasa ww hapo kuna kigezo gani kinakuzuia?!Vigezo shida
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ila Ney una maneno hatari[emoji3] [emoji3]
Ww umeshasema pm yako haipatikaniNipo hapa nipm
Nimeshajitathmini mwenyewe sifaiWeka picha mkuu tujiridhishe
Hapana usiogope mkuu, valuers tupo hapa wazee wa viwango.Nimeshajitathmini mwenyewe sifai
Kwa nini mnakatisha watu tamaa? Kwani walio huko mitaani hawatumii mitandao? Au wewe unaishi wapi mwenzetu kama sio mtaani? 43 ni mtu mzima na anajua nini anafanya, atleast mtakie kila la heri tu inatosha kha!Iv humu unaweza kupata mwanamke wa ndoa!!! 43 unatafta mwanamke humu kabisa? Mkuu hapo jirani hakuna baa?
Si ndio, sijawai ona text kwny pm yanguWw umeshasema pm yako haipatikani
Nilitumia jf kama mgeni kwa muda mrefu, nilikuwa naziona post za namna hii nikajua kuna mafanikio humu, baadae nikajiunga My first post baada ya kujiungilikuwa kama hii, nilichati nao sana ila hakupatikana mkweli wala aliye silias, wote wazugaji tu, wengine wapiga dili! hapa hapatoshi kueleza yote kama vipi weka namba yako ya airtel nikupe full storiDadavua zaidi mkuu
Huwezi kuona kama ukiambiwa njoo pm unaanza kuringaaaSi ndio, sijawai ona text kwny pm yangu
Urembo na umbo la kupendeza[emoji12] [emoji12]Sasa ww hapo kuna kigezo gani kinakuzuia?!
Wasukuma mna maumbo ya kupendeza snUrembo na umbo la kupendeza[emoji12] [emoji12]
hata kama ukweli unauma ila ni zaidi ya dawaKwa nini mnakatisha watu tamaa? Kwani walio huko mitaani hawatumii mitandao? Au wewe unaishi wapi mwenzetu kama sio mtaani? 43 ni mtu mzima na anajua nini anafanya, atleast mtakie kila la heri tu inatosha kha!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu jaribu nione kama inakujaHuwezi kuona kama ukiambiwa njoo pm unaanza kuringaaa
Wakija wanasemaje?mimi ni mhanga, naogea kwa vigezo, nilitumia mda mrefu sana ktk hilo sikufanikiwa, japo pm ilijaa vibaya!!
wanakuja na style za kitapeli
Ww si umenitoa nishai leo...nakubembeleza halaf unaniona boya[emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu jaribu nione kama inakuja
Doh! Ulinielewa vibaya basi, niwie radhi ila siwezi kukuona boya. Ukweli msg haziji cjajua nini tatizoWw si umenitoa nishai leo...nakubembeleza halaf unaniona boya