kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Hahahaaa....karibu sanaNxt wik nkija tena ntarekodi video kbs watu waone humu
Huo uzuri wa ndani unahitaji mda kuungundua kwa mwanamkeUrembo/ umbo la kupendeza sio vigezo vya muhimu kwenye kutafuta mwenza....Omba upate mwanamke aliye na uzuri wa ndani sio huo wa nje, na hivi una watoto 3 tayari ni changamoto kupata mwanamke atakayewalea kama wanae....ila kama unataka mwanamke wa show off sawa!!!
ulijiunga jf ferb 22 last year, ferb 25 ukaja na sredi inayosema unataka mchumba na una miaka 33... leo ni jan 2018 umekuja na sredi nyingine unataka mke na una miaka 43.. ..ukiangalia interval ya hizi sredi mbili hata mwaka haujaisha ni kama 11 months lakini kwenye umri wako tayari miaka kumi imeshasogea... what a miracle, ... jifunze kuwa siriazi shenzi taipu
Ntafikia holmand hapo uje hata kunibusuHahahaaa....karibu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulijiunga jf ferb 22 last year, ferb 25 ukaja na sredi inayosema unataka mchumba na una miaka 33... leo ni jan 2018 umekuja na sredi nyingine unataka mke na una miaka 43.. ..ukiangalia interval ya hizi sredi mbili hata mwaka haujaisha ni kama 11 months lakini kwenye umri wako tayari miaka kumi imeshasogea... what a miracle, ... jifunze kuwa siriazi shenzi taipu
Hata sipajui mwenzangu [emoji101] [emoji101]Ntafikia holmand hapo uje hata kunibusu
HahahahahaHata sipajui mwenzangu [emoji101] [emoji101]
LandmarkHahahahaha
Unapajua wapi?!
Ndio karibu na unapoishi?!Landmark
Nasikiaga ni karibu na Dar.Ndio karibu na unapoishi?!
Duh!...asanteNasikiaga ni karibu na Dar.
Kwa nn asiwapate bwana? Mbona wapo wengi tu jamaniIv humu unaweza kupata mwanamke wa ndoa!!! 43 unatafta mwanamke humu kabisa? Mkuu hapo jirani hakuna baa?
Ukichukulia kila kitu kinachochapishwa humu SIRIAZI sana utaumia kichwa mkuuulijiunga jf ferb 22 last year, ferb 25 ukaja na sredi inayosema unataka mchumba na una miaka 33... leo ni jan 2018 umekuja na sredi nyingine unataka mke na una miaka 43.. ..ukiangalia interval ya hizi sredi mbili hata mwaka haujaisha ni kama 11 months lakini kwenye umri wako tayari miaka kumi imeshasogea... what a miracle, ... jifunze kuwa siriazi shenzi taipu
Asante tena jamaniDuh!...asante
NimekomaAsante tena jamani
Huraniwi jamani, usiwe mwepesi wakususa hivyo bwana. Wengine tunapenda utani wakati mwingineNimekoma