Mwanamke anayejitambua aje PM

ngoja nikuletee sabuni ya puff ndio inatoa povu vizuri ila umeshaumbuka TAPELI mkubwa, wadada kuweni makini sana na watu wa aina hii...
 
ngoja nikuletee sabuni ya puff ndio inatoa povu vizuri ila umeshaumbuka TAPELI mkubwa, wadada kuweni makini sana na watu wa aina hii...

Tapeli kivipi? Maana hakuna mahusiano ya mtandaoni. Lazima tukutane na of course tutaelezana kila kitu. Shida yako wewe [MBEA MKUBWA] unashinda JF asubuhi, mchana, usiku unafuatialia maisha ya watu tu. Unachunguza umri, n.k. Fuata mambo yako. Huna kazi nini Bwege wewe....

Wenyewe wahusika wanakuja PM tunajadili huko. Jenga maisha yako wewe...
 
ngoja nikuletee sabuni ya puff ndio inatoa povu vizuri ila umeshaumbuka TAPELI mkubwa, wadada kuweni makini sana na watu wa aina hii...

Halafu umestick kwenye kosa moja tu 33/43. je kama ni typing error? Unadhani wengine tunashinda humu 24/7 tukikagua spelling mistakes, n.k. ??? Dogo acha ushamba, wewe wajenga kwa mwenzako kumbe kwako kwa bomoka!
 
IQ-0
 
Iv humu unaweza kupata mwanamke wa ndoa!!! 43 unatafta mwanamke humu kabisa? Mkuu hapo jirani hakuna baa?
Mkuu wapo wanaojitambua sana na matapeli wapo pia akili kuchagua yupi anafaa unafanya interview ya nguvu before kwenda mazima kisa katuma pic nzuri na pia mshirikishe mungu
 
hello
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…