Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
shangaa na wewe dearest, ili kupata ndoa naona kuna masharti mengi sana, yaani hata ka kazi inabidi nikaache nirudi kijijini kwetu katelelo ili nipate mchuchu,kazi kweli kweli
Mchuchu wa kijijini si mta differ mara moja best?
 
G mie mwanaume mwenye insecurity issues simuwezi..naona nayeye atanishindwa....ila kama kuolewa nimeshaolewa wala sioni sababu ya wasichana kuharakisha kuolewa...kwa sababu yeyote itakayo kuwa... ndoa sio mchezo kama anvyosema Nyamayao...

but i am the kind of woman who prefer not be the main bread earner.... honestly its too exhausting plus I enjoy spending my money on my obsessions...i dont like saving,,, I like spending:becky:
 
shangaa na wewe dearest, ili kupata ndoa naona kuna masharti mengi sana, yaani hata ka kazi inabidi nikaache nirudi kijijini kwetu katelelo ili nipate mchuchu,kazi kweli kweli

nashangaa dearest ..itabidi u lose all ur money and job (and urself may be) for the sake of marriage hahaha
 
kwahiyo mwanamke aache kila kitu kwa ajili ya kuolewa au just to help guys with their insecurity problem?

NN siyo Wanaume wote wanataka hivyo. Hao wanaotaka hivyo ni wenye wivu uliopitiliza na kwao wao wake zao wanapokuwa waajiriwa basi inaongeza possibility ya kuwa na mwanaume/wanaume nje ya ndoa. Juzi juzi nimesoma mahali nadhani ni hapa jukwaani kwamba akina mama wanaokaa nyumbani tu na si waajiriwa ndiyo wanaokuwa na mahusiano ya nje ya ndoa kwa idadi kubwa kuliko hata wale walioajiriwa.

YouTube - ‪P. Diddy And Usher Feat. Loon - I Need A Girl‬‎
 
naona taratiiibu watu wanarudi kwenye mstari!.........
 

BUK, sidhani kama kuna mwanaume (kati ya wale waliotoa michango yao) amesema/kuonesha kuwa anapenda amke wake aache kazi. Hapo unajaribu kupindisha mada kuu inayojadiliwa hapa. Swali ni kuwa, mwanamke anayejiweza anapata shida kuwapata wanaume wa kumuoa? Na baadhi yetu (tena wengi tu) tumesema ndiyo na tukatoa vielelezo, ikiwemo uzoefu wetu na tafiti za kisayansi. Pia hapa hakuna suala la insecurity kama anavyosema Noname. Suala ni preferences za wanaume, na kwamba walio wengi wangependa kumuoa mwanamke asiyewazidi kipato. Maisha ya ndoa yanakuwa na furaha kama wahusika wanafurahia maisha yao na ndio maana kila jinsi (gender) inakuwa na vitu vyake inavyoviangalia na pia kila mtu anazo tastes zake.
 
suala la insecurity lipo kwa sababu mwanaume anakuwa hajiamini na anamuogopa mwanamke anae mzidi income or education.. tabu inakuwa siyo pesa wala elimu..tatizo mwanaume anajiona dhaifu (or powerless) na hiyo ndio inaweza kusababisha matatizo kwenye relationship....mie niliwahi kuwa na relationship na mwanaume who earned less than me..so i know the problem...ilikuwa tabu manake kila small or big argument lazima alete tuu hii issue... " si unajiona unapesa ndio maana unafanya hivyo" au umejiona umekuwa manager ndio mie sifai tena" come on that is not the issue....:confused2:
 
Hivi hapa muafaka ni upi??
Kukubaliana kwamba tumetofautiana?
 
mwanamke kuwa na faranga sio tatizo ila ukijilegeza kidogo ujue atakuendesha: ukitaka mambo yaende sawa hakikisha unakuwa na rules/principles tangu mwanzo wa penzi lenu.
Hatari ni pale ambapo mwanamke anapata bingo mkiwa ndani ya ndoa kisha zikampagawisha hasa zile zinazoitwa nafasi za upendeleo:A S 8::A S 8::A S 8: au maalum
 

Hapo hakuna ubishi. Siyo kwamba anajiona dhaifu (powerless) bali anakuwa powerless kweli kweli. Na ukumbuke, money (wealth) is power and manhood psychology ni kuwa mwanamume ni powerful. Kwa hiyo inakuwa vigumu kuishi na mtu ambaye alitakiwa kuwa powerful lakini kwa sababu moja au nyingine amejikuta akiwa powerless. Kama ingewezekana angefanya coup detat! Ndiyo maana tunasema, kama dada una hela zako (ambayo siyo dhambi na ni jambo jema) kwa nini ujiingize kwenye relationship yenye mwelekeo wa migogoro from day zero? Mate choice ni suala gumu ila kuna vitu ambavyo mtu unaweze kuvizuia kwa ajili ya afya yako na mstakabali wa uhusiano wenu. Sasa tunawashauri akina JS waepukane na kitu hicho kwa sababu tunawapenda sana.
 
Mhhh, wewe si unaona watu wanavyokuwa wabishi. Tunazunguka pale pale.
Unajua mkuu DC, hawa wanaopinga hapa hata wenyewe hawayaamini wanayoyaongea...kwamba mwenye hela awe weak kuliko asiye nacho??:nono:
 
Unajua mkuu DC, hawa wanaopinga hapa hata wenyewe hawayaamini wanayoyaongea...kwamba mwenye hela awe weak kuliko asiye nacho??:nono:

Ngoja mdogo wetu Teamo aje atueleze. Kwamba kwenye briefcase anazo zaidi ya 100m za EPA halafu anaburuzwa ki-Bushoke Bushoke tena bila kupigwa shuntama (Limbwata)i!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…