Mwanamke anayejiweza kimaisha

Mwanamke anayejiweza kimaisha

  • Thread starter Thread starter JS
  • Start date Start date
Ushauri mdogo kwa anayetaka kumwoa mwanamke mwenye uwezo
1. Usiishi kwenye nyumba yake, ikibidi kama anayo mpangishie mtu na nyie mkapange sehemu nyingine.
2. Usiajiriwe kwenye shughuli za mkeo, tafauta ajira au biashara zako mwenyewe
3. Usiache dini au dhehebu lako na kuhamia la mkeo, yeye ndio akufuate mnakosali
Ukitimiza hayo matatu utaishi maisha ya furaha LAKINI ikifanye tofauti utaishi maisha ya huzumu sana maishani mwako. Hivi kama unaishi kwenye nyumba ya mkeo, mama mkwe wako au shemeji zake wakija hapo nyumbani unafikiri wanakuona kama mkwe wao au kigaragosi fulani?

Ushauri wa mwisho shikamana na mnaendana naye kiuchumia ili mjijenge pamoja kwani unayemkuta na mali pengine amenunuliwa na mwanaume mwenzio na LAZIMA aendelee kulipa fadhila pindi nafasi inapopatikana au hata kumzalia humo humo kwenye ndoa yako
 
Ngoja mdogo wetu Teamo aje atueleze. Kwamba kwenye briefcase anazo zaidi ya 100m za EPA halafu anaburuzwa ki-Bushoke Bushoke tena bila kupigwa shuntama (Limbwata)i!!
unajua mkulu hoja hapa iko hivi....
kwamba Re: Mwanamke anayejiweza kimaisha

kwamba huyu mwanamama ndo baasi tena KUOLEWA?....
lakini hoja ya senti roya kwamba uwe na hela AGAIN UWE WEAK!hiyo mi sikubali!kwasababu katika hali ya kawaida kabisa hiyo haiwezi kuwa ndoa wala mapenzi
 
unajua mkulu hoja hapa iko hivi....
kwamba Re: Mwanamke anayejiweza kimaisha

kwamba huyu mwanamama ndo baasi tena KUOLEWA?....
lakini hoja ya senti roya kwamba uwe na hela AGAIN UWE WEAK!hiyo mi sikubali!kwasababu katika hali ya kawaida kabisa hiyo haiwezi kuwa ndoa wala mapenzi

Hivi bado mnabishana tu?

We bana kama unataka mambo yako yakuendee hovyo we kajiolee mwanamke aliyekuzidi kipato, elimu na/au umri. Hii ni kwa Mujibu wa uzoefu, hakuna cha findings, journals wala scientific proof hapo.

Haya hebu twendeni kule tukapige kampeni Chat Room irudishwe.:fencing:
 
Hivi bado mnabishana tu?

We bana kama unataka mambo yako yakuendee hovyo we kajiolee mwanamke aliyekuzidi kipato, elimu na/au umri. Hii ni kwa Mujibu wa uzoefu, hakuna cha findings, journals wala scientific proof hapo.

Haya hebu twendeni kule tukapige kampeni Chat Room irudishwe.:fencing:

:fencing:
 
Wandugu za leo,

Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?

Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika

Teamo, hilo do lilikuwa swali la JS. Na jibu tumempatia kuwa ni "BIG NO"

unajua mkulu hoja hapa iko hivi....
kwamba Re: Mwanamke anayejiweza kimaisha

kwamba huyu mwanamama ndo baasi tena KUOLEWA?....
lakini hoja ya senti roya kwamba uwe na hela AGAIN UWE WEAK!hiyo mi sikubali!kwasababu katika hali ya kawaida kabisa hiyo haiwezi kuwa ndoa wala mapenzi

Mkuu, you got it wrong. Kwa hiyo toa jibu sasa kama swali umelielewa!:eyeroll2:
 
Teamo, hilo do lilikuwa swali la JS. Na jibu tumempatia kuwa ni "BIG NO"



Mkuu, you got it wrong. Kwa hiyo toa jibu sasa kama swali umelielewa!:eyeroll2:
mkuu mimi naona kama sijakosea kabisa tafsiri........!
 
BUK, sidhani kama kuna mwanaume (kati ya wale waliotoa michango yao) amesema/kuonesha kuwa anapenda amke wake aache kazi. Hapo unajaribu kupindisha mada kuu inayojadiliwa hapa. Swali ni kuwa, mwanamke anayejiweza anapata shida kuwapata wanaume wa kumuoa? Na baadhi yetu (tena wengi tu) tumesema ndiyo na tukatoa vielelezo, ikiwemo uzoefu wetu na tafiti za kisayansi. Pia hapa hakuna suala la insecurity kama anavyosema Noname. Suala ni preferences za wanaume, na kwamba walio wengi wangependa kumuoa mwanamke asiyewazidi kipato. Maisha ya ndoa yanakuwa na furaha kama wahusika wanafurahia maisha yao na ndio maana kila jinsi (gender) inakuwa na vitu vyake inavyoviangalia na pia kila mtu anazo tastes zake.

Hapana ndugu yangu sikupindisha ukweli bali nilikuwa najaribu kufafanua kutokana na mchango wa NN aliposema kwamba inabidi mwanamke aache kila kitu ili amridhishe mume. ikumbukwe kwamba mwanamke huyo anayejiweza inawezekana kabisa hali hiyo inasababishwa na ajira yake ambayo ana kipato kikubwa kutokana na nafasi aliyonayo kwa muajiriwa wake ambayo ameipata kutokana na kiwango cha juu cha elimu aliyokuwa nayo.
 
suala la insecurity lipo kwa sababu mwanaume anakuwa hajiamini na anamuogopa mwanamke anae mzidi income or education.. tabu inakuwa siyo pesa wala elimu..tatizo mwanaume anajiona dhaifu (or powerless) na hiyo ndio inaweza kusababisha matatizo kwenye relationship....mie niliwahi kuwa na relationship na mwanaume who earned less than me..so i know the problem...ilikuwa tabu manake kila small or big argument lazima alete tuu hii issue... " si unajiona unapesa ndio maana unafanya hivyo" au umejiona umekuwa manager ndio mie sifai tena" come on that is not the issue....:confused2:

NN ulichoandika hapo ni kweli kabisa. Nimeyaona matukio kama hayo mara nyingi sana katika ndoa zetu za Kitanzania. Mke anapokuwa na elimu au kipato kikubwa basi inawezekana kabisa kikawa chanzo cha kukosa amani ndani ya nyumba na hatimaye hata kuivunja ndoa.

Hmmmm, " si unajiona unapesa ndio maana unafanya hivyo" au umejiona umekuwa manager ndio mie sifai tena" mafanikio yako badala ya mwenzio kuyafurahia yanakuwa karaha karibu kila siku iendayo kwa Mungu.

Kitu kidogo tu basi utaambiwa umefanya hivyo kwa sababu unamuona njemba hafai una kipato kikubwa na umekuwa meneja sasa au mkurugenzi na blah blah blah chungu nzima. Mahusiano haya jamani yana matatizo kweli kweli.

YouTube - ‪Nu Shooz - Point Of No Return 1986‬‎
 
We bana kama unataka mambo yako yakuendee hovyo we kajiolee mwanamke aliyekuzidi kipato, elimu na/au umri. Hii ni kwa Mujibu wa uzoefu, hakuna cha findings, journals wala scientific proof hapo.:

Hapo tupo pamoja watu wanapumulia mashine kwa kuoa watu wa design hii.
 
BUK, sidhani kama kuna mwanaume (kati ya wale waliotoa michango yao) amesema/kuonesha kuwa anapenda amke wake aache kazi. Hapo unajaribu kupindisha mada kuu inayojadiliwa hapa. Swali ni kuwa, mwanamke anayejiweza anapata shida kuwapata wanaume wa kumuoa? Na baadhi yetu (tena wengi tu) tumesema ndiyo na tukatoa vielelezo, ikiwemo uzoefu wetu na tafiti za kisayansi. Pia hapa hakuna suala la insecurity kama anavyosema Noname. Suala ni preferences za wanaume, na kwamba walio wengi wangependa kumuoa mwanamke asiyewazidi kipato. Maisha ya ndoa yanakuwa na furaha kama wahusika wanafurahia maisha yao na ndio maana kila jinsi (gender) inakuwa na vitu vyake inavyoviangalia na pia kila mtu anazo tastes zake.

DC, hapa chini ni link ya kile ya kuthibitisha kile nilichoandika kwamba Wanawake ambao ni mama wa nyumbani na si waajiriwa wanakuwa na mahusiano zaidi ya nje, lakini katika hii article wanachukuwa namba ya pili baada ya Walimu na hii ni US sijui kama kutakuwa na tofauti kubwa kama utafanywa utafiti kama huu Tanzania.

Doctors, Stay-At-Home Moms Likely To Cheat: Survey
 
Kuna mdada alijifukarisha baada ya kuona hapati mchumba. Aliuza gari lake, nyumba na mali nyingine ili apate mchumba!

Haya mambo ni magumu jamani tusifanye mzaha.Ila binafsi sitamshauri mdada ajifanye maskini kisa kakosa mwanaume. Kama alivyosema Boss hapo juu, inategemea mtu na mtu. Wapo wenye uchache na hawaoni kama ni ishu.Inapokuja mahusiano, huwa tayari kupenda kwa misingi ile ile ambayo ingetawala uhusiano hata pale hakuna mali wala nini.
Are you kidding me?? This is unbelievable.:shocked::shocked::shocked::shocked::shocked::shocked::shocked::shocked::shocked::shocked::shocked:
 
.......Mhhh inawezekana kuna kaukweli fulani kwamba mwanamke ukiwa na pesa/mali kupata mwanaume makini wa kutangaza nia kazi. Sio kwamba hupati wanaume kabisa hapana, wanaume watakuja kwako lakini wengi wao wanaogopa wakiona binti amejitosheleza kwa kila kitu.

......Kuna mdada naye hivyo hivyo umri wake sasa ni 35, ana kazi nzuri kwenye shirika kubwa na mshahara mzuri, usafiri wa maana na nyumba yake ya maana lakini masikini hapati mwanaume wa kumuoa........mwenyewe utakuta analalamika tena anasema kabisa watoto wadogo mnaolewa lakini yeye hapati mume.Yaani huyu mdada ana tabia nzuri na mpole lakini wanaume wanamuogopa kwa uwezo aliokuwa nao. Labda siku moja atakuja kupata mume mie huwa namuonea huruma.
Hebu nipe contacts zake ASAP.
:ranger:
 
kwahiyo mwanamke aache kila kitu kwa ajili ya kuolewa au just to help guys with their insecurity problem?
Hell NOOOOOOOO. We kama una mshiko mbona wa kukuoa wapo wengi tu wala huachi kitu. Ila kumbuka mtii mumeo.:thumb::thumb::thumb:
 
suala la insecurity lipo kwa sababu mwanaume anakuwa hajiamini na anamuogopa mwanamke anae mzidi income or education.. tabu inakuwa siyo pesa wala elimu..tatizo mwanaume anajiona dhaifu (or powerless) na hiyo ndio inaweza kusababisha matatizo kwenye relationship....mie niliwahi kuwa na relationship na mwanaume who earned less than me..so i know the problem...ilikuwa tabu manake kila small or big argument lazima alete tuu hii issue... " si unajiona unapesa ndio maana unafanya hivyo" au umejiona umekuwa manager ndio mie sifai tena" come on that is not the issue....:confused2:

Kwani ni uongo kama mtu amekuzidi pesa tayari you are less powerful than she/he is financially kwa hiyo siyo mwanaume anajiona bali ndiyo hali halisi hiyo.
 
Back
Top Bottom