Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,579
Ushauri mdogo kwa anayetaka kumwoa mwanamke mwenye uwezo
1. Usiishi kwenye nyumba yake, ikibidi kama anayo mpangishie mtu na nyie mkapange sehemu nyingine.
2. Usiajiriwe kwenye shughuli za mkeo, tafauta ajira au biashara zako mwenyewe
3. Usiache dini au dhehebu lako na kuhamia la mkeo, yeye ndio akufuate mnakosali
Ukitimiza hayo matatu utaishi maisha ya furaha LAKINI ikifanye tofauti utaishi maisha ya huzumu sana maishani mwako. Hivi kama unaishi kwenye nyumba ya mkeo, mama mkwe wako au shemeji zake wakija hapo nyumbani unafikiri wanakuona kama mkwe wao au kigaragosi fulani?
Ushauri wa mwisho shikamana na mnaendana naye kiuchumia ili mjijenge pamoja kwani unayemkuta na mali pengine amenunuliwa na mwanaume mwenzio na LAZIMA aendelee kulipa fadhila pindi nafasi inapopatikana au hata kumzalia humo humo kwenye ndoa yako
1. Usiishi kwenye nyumba yake, ikibidi kama anayo mpangishie mtu na nyie mkapange sehemu nyingine.
2. Usiajiriwe kwenye shughuli za mkeo, tafauta ajira au biashara zako mwenyewe
3. Usiache dini au dhehebu lako na kuhamia la mkeo, yeye ndio akufuate mnakosali
Ukitimiza hayo matatu utaishi maisha ya furaha LAKINI ikifanye tofauti utaishi maisha ya huzumu sana maishani mwako. Hivi kama unaishi kwenye nyumba ya mkeo, mama mkwe wako au shemeji zake wakija hapo nyumbani unafikiri wanakuona kama mkwe wao au kigaragosi fulani?
Ushauri wa mwisho shikamana na mnaendana naye kiuchumia ili mjijenge pamoja kwani unayemkuta na mali pengine amenunuliwa na mwanaume mwenzio na LAZIMA aendelee kulipa fadhila pindi nafasi inapopatikana au hata kumzalia humo humo kwenye ndoa yako