Naomba kueleweshwa juu ya hili swala je mwanamke asipoona siku zake hata kwa miezi mitatu hivi je anaweza pata mimba kama inawezekana naomba kueleweshwa inatokeaje??
Karibuni kwa msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibuni kwa msaada
Sent using Jamii Forums mobile app