Mwanamke asiyependa ngono namtafuta awe mke wangu

Mwanamke asiyependa ngono namtafuta awe mke wangu

Nina wasiwasi na uandishi hapo #hasiyependa# sasa huyo mwanamke unamtaka wa kazi gani? kukufanyia usafi, kukupikia na kuwa pambo la nyumbani? fafanua mkuu
 
Wanawake wote wanapenda ngono... hata ww unapenda.. ila wametofautiana viwango. Sema unahitaji mwanamke asiye mzinzi.
 
Natafuta mwanamke hasiyependa Ngono ili awe mke wangu wa maisha mimi miaka yangu kati ya 46 na 50 karibu sana
mkuu wewe itakuwa unadindisha mara moja kwa mwezi..... unaogopa kupata binti anaetaka kusuguliwa kutwa mara 3. Anyway wakija pm ambao wanapenda kupigwa mashine daily nitupie mimi
 
Mimi hapa!! Sipendi hata kidogooo...
 
Anatafuta wallpaper jamani majanga! [emoji30][emoji30][emoji30]
 
Mleta Mada lazma utakuwa punga ww na kwa taarifa yako mwanamke wa dizaini hiyo hayupo, we kaolewe tu.
 
Nani kakudanganya? Hao walikuwa wa zamani siku izi mpaka vikuku wanavaa na mechi daily....wacha kabisaaa kuwagusa weka mbali na watoto
Mm nimeachana na mpenzi wangu wa kichaga coz kusex ni Mara moja kwa mwezi...na sio huyo tu ndo maana hata wanaume wa kichaga hawataki kuwaoa wasichana wakichaga
 
Mm nimeachana na mpenzi wangu wa kichaga coz kusex ni Mara moja kwa mwezi...na sio huyo tu ndo maana hata wanaume wa kichaga hawataki kuwaoa wasichana wakichaga

Mkuu Fanya research vizur nina uhakika wew ndie unamatatizo yawezekana huwik vizuri ndiomaana wanakukimbia!
 
Mkuu Fanya research vizur nina uhakika wew ndie unamatatizo yawezekana huwik vizuri ndiomaana wanakukimbia!
Hawanikimbii,ila mm ndo nawakimbia,make mm napokuwa faragha huwa napiga zaidi ya bao nne,so kwa binti wa kichaga hawezi ,wao ni wanataka wanaume wanaopiga bao moja then kila MTU na time zake.lakin for this time Niko na mtoto wa kitanga ananikosha kinomanoma,make nimejikuta napiga had bao sita per night.
 
Hawanikimbii,ila mm ndo nawakimbia,make mm napokuwa faragha huwa napiga zaidi ya bao nne,so kwa binti wa kichaga hawezi ,wao ni wanataka wanaume wanaopiga bao moja then kila MTU na time zake.lakin for this time Niko na mtoto wa kitanga ananikosha kinomanoma,make nimejikuta napiga had bao sita per night.

Hahahahaaaa!! Haya endelea kuloekewa nguo huko Tanga maana ndio hicho unakipenda
 
Back
Top Bottom