Mwanamke asiyependa ngono namtafuta awe mke wangu

Mwanamke asiyependa ngono namtafuta awe mke wangu

Pesa sio tatizo kwangu,na nimeshakuwa na mabinti zaidi ya watatu wa kichaga,ndo maana nasema hivo,they are ignorant on sex,believe.
 
Hahahahaaaa!! Haya endelea kuloekewa nguo huko Tanga maana ndio hicho unakipenda
Watoto wa tanga ni shida bwana,kama jogoo lako haliwiki usithubutu kwa mtoto wa kitanga.. ..tanga raha bwana asikuambie MTU,chaga girl quit away
 
Mwanamke asiependa ngono!!???......kuna mtu ambae hapendi vitu vitamu mkuu??
 
Wewe unamatatizo makubwa, hivi hujui tu yakwamba raha ya ndoa kila mtu awe na hamu?
 
Msimseme sana mwenzenu jamani. Labda kashindwa tu kujieleza. Huenda alikuwa ana maana anataka mwanamke ambaye hashabikii sana sex. Labda anataka mara moja au mbili tu kwa wiki tena kimoja cha fasta. Amesema umri wake ni around miaka 50 kwa hiyo bila shaka stimu imepungua. Ninaamini wanawake wa sampuli hiyo anayotaka wapo
 
Haaaaahaa niko apa mimi[emoji23][emoji23][emoji23]sipendi kabisaa anii..
 
Back
Top Bottom