Mungu ampe tu uyo mama,unajua kuna wakati mabinti au wanaume uwa tunaona ndoa za nini ila kuna umri utafika tutajuta sana wakati ambao watoto wako watakua wako na majukumu yao ndugu wako na majukumu yao pesa unayo ila nani anakusaidia hasa pale kwenye magonjwa ya utu uzima unazani, unataka mama yako akuogeshe au mwanao wakike akuogeshe ni ngumu kuelewa ila kuna haja ya kuheshimu sana ndoa vijana wenzangu
kuna mzee ni marehemu na alikuwa balozi nje ya tanzania alinitamkia mbele yangu na pesa zake wakati anakaribia kufa mwanagu ziheshimuni ndoa leo nakufa kwasababu nilimzalau mke wangu, ndio na saidiwa ila si kama ambavyo angenisaidia mke wangu wakati huo hata chooni wakupeleka............
mungu tuepushe