DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Mwanamke mmoja nchini Kenya ameandika bango Na kukatiza nalo mitaa ya jijini Nairobi akitafuta mume Wa kumuoa!
Mwanamke huyo bi Pris nyambura amesema amechoka kusubiri miaka nenda rudi hivyo ameamua kuweka aibu pembeni Na kuamua kutafuta mume mwenyewe kinyume kabisa Na mila za kiafrika.
Bi nyambura amevaa kabisa shela la bibi harusi tayari tayari kwa ndoa!
Ana umri Wa miaka 28 Na binti Wa miaka saba 7.
DJ sepetu
Mwanamke huyo bi Pris nyambura amesema amechoka kusubiri miaka nenda rudi hivyo ameamua kuweka aibu pembeni Na kuamua kutafuta mume mwenyewe kinyume kabisa Na mila za kiafrika.
Bi nyambura amevaa kabisa shela la bibi harusi tayari tayari kwa ndoa!
Ana umri Wa miaka 28 Na binti Wa miaka saba 7.
DJ sepetu