kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,981
- 4,857
Member wa huu uzi nawasalimu kwa jina la utapeli[emoji955][emoji955][emoji955][emoji955]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyo na mm nawatapeli tu hela ninayopata naweka kwenye kibubu alafu nakojolea mwaka ukiisha nitakivunja nione nimepata sh ngapi ninunue hata kiwanja
Sent using Jamii Forums mobile app
Demiss naomba uni PM jina unalotumia BadooMember wa huu uzi nawasalimu kwa jina la utapeli[emoji955][emoji955][emoji955][emoji955]
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni me?Mimi huu mtandao niliuona wa kiuzinguaji nikaachana nao japo nimewai kupiga mmoja toka badoo saizi imehamia insta huku hakuna zengwe sana
Ukimstukia anakuwa mkali balaaKimbia huyo utakutapeli[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
"ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ"
Hizi mambo zilinipata Kule fb mwaka 2011, nilipata friend demu wa Nairobi, katika mawasiliano tukajikuta tumepeana namba za simu, basi mwendo ukawa ni SMS kuanzia asubuhi mpaka usiku, mahaba kibao unaambiwa..basi kama zali nikapata issue ya kwenda Mombasa, nikampanga mtoto kuwa kama akiweza asogee,bila ngwasi akakubali kuwa atakuja,,basi Mzee baba njia nzima ndani ya Tahmeed ni mawazo tu juu ya mtoto JS na jinsi nitakavyomkaza tukikutana,.Mara paap Likoni, nikamcheki mtoto hewani akasema kesho yake jioni ataanza safari Nai-mbsa kwa hiyo nimtumie nauli kshs 1200,mnh machale yakanicheza nikamwambia alipe then akishafika nitamrudishia, basi duh! Kuanzia hapo urafiki ukaanza kupungua na mpaka sasa hata wishes za birthday hajibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku izi wadada wazuri wapo kwny app ya Your love yaan sijawahi omba namba nikakataliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajua lkn pumbu ni mzigo mzito sana na utatakiwa uubebe maisha yako yote?tafakari
Wanaume tunabeba mizigo mizito sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums