MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Kaka nimekutumia PM naomba uicheki
Angalia pmLink mkuu
Angalia pm yako
Ina maana hawa mods wameanza kuwa walimu wa maadili?
Ilo la mwisho ndio jibu. Ndio maana nimesema kausha usiendelee kuongelea huo uzi. Huwezi uona.Sawa hata wakiuripoti, sheria gani inakuwa imevunjwa ya JF?
Au wanauhamishia jukwaa la wakubwa?
Naandikiwa hiv nikiingiaView attachment 1268144
Uzi wetu pendwa
Nitupie hiyo link mkuuAngalia pm
Wewe dume halafu unaweka avatar ya mrembo, una maanisha nini? Una tofauti gani na hao wa huko Badoo wanaoibia pesa wanaume kila kukicha?Mi niliishawai kupelekwa na demu mpaka mbagala ndani ndani huko na demu wa badoo alafu kufika huko kazima simu da nili maindi nikafuta na app yenyewe nimechoma mafuta yangu bure na mark x inavyokunywa wese
namba yake iko wapiMambo hayo View attachment 1259173
Mkuu hebu ntumie linkNimeipata ss
Mkuu naomba linkAngalia pm
Muuzie idJukwaa kuu
Sioni mkuu tufanyie mpango basi na sisi kwenye hilo jukwaaDah siamini hadi wewe hauupati huu uzi.
Mkuu naomba link
Jukwaa kuu
Oya mkuu naomba linkMabaharia kuna group telegram kama maNNE watotos kama wote huduma zote wanatoa ni balaa tena wakuaminika hakuna utapeli kulee ngoja nikaitafute link nitupie hapa
Nomba link mkuuCheki pm
Mkuu link ni haki ya kila mchangiaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39].Cheki pm