Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Daah kuna I'd toka nijiunge sijawah kuziona zikichangia jf duuh ila zpo nimekutana nazo pm na ni nyingi mnoo daah ila wana wanayumba wapite kuchangia Uzi wetu pendwa sio kusoma tu halafu directly pm


Ila mabaharia saluti kwenu [emoji16][emoji16] kwengine kote tunatengana ila kwenye kuchakata papuchi tunakuwa na umoja
Mkuu mimi sio mmoja wao.Uzi huu pendwa ni mchangiaji matata.sema uliponiambia tu cheki PM wamemiminika huko wanataka Link.Wacha niwatumie
 
Jaribu pia hi 5

Nilipata single Dada mmoja ila mm nlikuwa mpitaji tu ila yeye alikuwa committed sana yaani mambo nlikuwa nafanyiwa utasema nimeoa mizinga ya ajabu skuskia


Ila sahiv huko kuwa makini mm natafuta vidada vidogo 18-20 hawa wenye watoto ni wachache
Hi 5 bado haijachangamka kabisa
 
Hawa badoo wanakera kuna baadh ya madem kuwasiliana nao mpaka uwe na credit
Huwa wanakupa max ya chat ya watu watano au pia ukitokea Ku like watu kadhaa na wao wakaku like au wao wakulike wewe ndo idadi inazidi ya kuchat na watu tofauti

Au ukiona maz inaitajika credits unalog out au una uninstall kabisa una download tena una sign upya kama memba mpya ukiingia kwenye profile lake tena unakuta ni free
 
Daah kuna I'd toka nijiunge sijawah kuziona zikichangia jf duuh ila zpo nimekutana nazo pm na ni nyingi mnoo daah ila wana wanayumba wapite kuchangia Uzi wetu pendwa sio kusoma tu halafu directly pm


Ila mabaharia saluti kwenu [emoji16][emoji16] kwengine kote tunatengana ila kwenye kuchakata papuchi tunakuwa na umoja
Hahahahahahah papuchi ina run dunia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Daaah wanaume sisi
 
Huwa wanakupa max ya chat ya watu watano au pia ukitokea Ku like watu kadhaa na wao wakaku like au wao wakulike wewe ndo idadi inazidi ya kuchat na watu tofauti

Au ukiona maz inaitajika credits unalog out au una uninstall kabisa una download tena una sign upya kama memba mpya ukiingia kwenye profile lake tena unakuta ni free
Bravo[emoji110][emoji110][emoji109][emoji109]
 
Back
Top Bottom