Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mkuu mimi sio mmoja wao.Uzi huu pendwa ni mchangiaji matata.sema uliponiambia tu cheki PM wamemiminika huko wanataka Link.Wacha niwatumie
 
Hi 5 bado haijachangamka kabisa
 
Hawa badoo wanakera kuna baadh ya madem kuwasiliana nao mpaka uwe na credit
Huwa wanakupa max ya chat ya watu watano au pia ukitokea Ku like watu kadhaa na wao wakaku like au wao wakulike wewe ndo idadi inazidi ya kuchat na watu tofauti

Au ukiona maz inaitajika credits unalog out au una uninstall kabisa una download tena una sign upya kama memba mpya ukiingia kwenye profile lake tena unakuta ni free
 
Hahahahahahah papuchi ina run dunia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Daaah wanaume sisi
 
Bravo[emoji110][emoji110][emoji109][emoji109]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…