Wanaume mbona tupo wengi, unakwama wapi aisee!
Wanauza nyapu mkuu,yani huko mnaelewana kabla,na mi nishawaona wadada na washkaji wengi nnaowajua hadi sikuamini,full ufska huko
Tatzo ww ushajiwekea fikra kila anaechat badoo ni malaya, kwanza nachat na wanawake na wanaume. Inaitegemea unainteract vp na hao watu.
Dunia inaenda kasi vibaya sanaa
Maingizo mapya
Mkuu uwa unafanyeje mbona me kila mtu nakataliwa kumtumia msg?
Kwani we hujajiunga mkuuAisee Badoo nilikua naidharau..kumbe iko powa sana