Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo kusema mabaharia saizi mmeacha kula watoto badoo, Hi5, tinder na kwingine au ndo mnakula kimya kimya ? Naona hatupeani connection tena.
Watu bado wanapiga bila kujali.Tupo busy na kujikinga na Corona...mechi zitaendelea baada ya hili janga kuisha
Ashawahi kukuibia huyo ?
Kila la heri katika uwindaji.Ngja na mm nkajiunge
Its not over until its over...[emoji769]
Katika maisha yangu, sijawahi kumuomba mwanamme hela, wadada Huko wapo kibiashara zaidi
Mapenzi ya kununua ni betting mkuu.. hakuna demu mkali anae jiuza kama kitunguu.. never nasema tena never hayupo na hato tokea
Analika lakini?
Wapo wanaokutana na visu.Mapenzi ya kununua ni betting mkuu.. hakuna demu mkali anae jiuza kama kitunguu.. never nasema tena never hayupo na hato tokea
Mzee mie nauzoefu mkubwa.. sio junior kwa hayo mambo ninacho sema nakujiua mzee ... ni ngumu kupata mwanamke mzuri akijiuza.. huenda tunapishana kwenye vigezo vya uzuri sasaWapo wanaokutana na visu.
bila link huu uzi ni upupu🙁Jamani kuna mtandao unaitwa badoo,yani huko kuna malaya wa kutupwa,siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu,wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile.
Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana,nitakurudishia ndani ya wiki moja".
Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana,yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.
Mapenzi ya kununua ni betting mkuu.. hakuna demu mkali anae jiuza kama kitunguu.. never nasema tena never hayupo na hato tokea
Mzee nimetembea sana.. nakuambia
Ma legends wanapingana na weweMzee mie nauzoefu mkubwa.. sio junior kwa hayo mambo ninacho sema nakujiua mzee ... ni ngumu kupata mwanamke mzuri akijiuza.. huenda tunapishana kwenye vigezo vya uzuri sasa
Umekuja kutangaza biashara huku?? Lipia tamgazo please managemnet huyu jamaa alipieJamani kuna mtandao unaitwa badoo,yani huko kuna malaya wa kutupwa,siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu,wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile.
Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana,nitakurudishia ndani ya wiki moja".
Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana,yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.
Mzee nimetembea sana.. nakuambia
Huyu nishapita... Kuweka tu namba jina limekuja nimem save ZXX..
Chief huyu sio bi sexual kama unavyojua wewe, palr kwenye ku select sexual orientation huwa hakuna kipengele wanachotaka, so huwa wanatumia hicho kama wanaliwa kote kote !View attachment 1396888
Kumbe ni Bisexual ?