Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Hivi tinder napo unakutana na picha kibao za wahusika? Kama vile picha 50 au 100 na kuanza kukagua yupi bomba?
 
Yesu Kristo hivi kumbe kuna mambo mazito duniani na siyajui!!loh!!ngoja nijitahidi kukimbizana na muda aise
Kama unashangaa hayo nadhani kuna mengi ya kutatanisha hujayaona

Hayo bado sio mazito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…